Tatizo la kiuno

mperwa

Member
Sep 3, 2009
28
0
Hi wana Jf , nasumbuliwa na kiuno sana mpaka kuna kipindi nashindwa hata kuinuka wala kugeuka, nimejifungua miez mitano iliyopita wengine wananambia nilianza fanya kazi mapema kabla ya kupona vizuri, ya kweli haya?

Naombeni ushauri jamani!
 
Kama hukupumzika inawezekana ndo ilikua sababu!Ngoja tusibiri wataalamu watueleze!Pole lakini!
 
Back
Top Bottom