GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Naomba msaada wenu, jino lilikuwa linaniuma, nikaenda kwa Dr Shabeer mtaa wa Jamhuri town, sasa dr akaniambia kuna tundu ninatakiwa kufanya root canal na charge yake ni laki na elf tisini, aliniambia kuwa wanakata mshipa wa fahamu na kuziba.
Sasa wana JFnilikuwa nauliza hii treatment mbona ni expensive sana?
Na hakuna njia mbadala ya matibabu na dentist gani ni mzuri?
Sasa wana JFnilikuwa nauliza hii treatment mbona ni expensive sana?
Na hakuna njia mbadala ya matibabu na dentist gani ni mzuri?