Hii ni aibu kwa watoa huduma ya m-pesa,mfano umetumiwa hela na ndugu yako pengine hela ya ujenzi n.k,ukienda kwa wakala kuchukua anakuuliza unataka kiasi gani? anakuambia sina,unaenda tena pengine na yeye hivyo hivyo, kwa hiyo biashara inaendelea hivyo mpaka pengine unaamua kuchukua nusu mpaka hela unayotaka itimie,na kadri una vyochukua nusu nus ni kadri gharama za kutoa nazo zinakuwa jubwa,wito wangu kwa wakala mkuu kabla ya kumptisha mtu kutoa hii huduma lazima awe na mtaji wa kutosha,ili kuleta imani na m-pesa.
nawaslisha wakuu.
nawaslisha wakuu.