Peleka mahakamani that Ba.s.ta.rd! Kwanza hiyo mimba ya mwanamke wa nje ni proof ya kutosha ya ground ya divirce kwa sababu ya ADULTERY! Mtagawana mali na kuhusu watoto atawatunza! Tena kwa asilimia kubwa hao watoto watakaa na wewe! Huyo mwanaume ni hatari sana atakuletea ukimwi aisee! Ila kama unakubali kuwa na wake wadogo itakucost baadae utakapoenda kuomba divorce kwani utakuwa ume-connive hali ile! Tafakari chukua hatua!
Kwa nini ulisubiri tatizo liwa kubwa ndio ulitatue? hapo juu nime underline dalili zote za mvua inayo kunyeshea sasa hivi. It is very sad you did not take any action when you could. Hata hivo wanasema it is never too late to act.
Kwanza kabisa elewa kua wewe hujakosea (zaidi ya kumuonesha uvumilivu wa kupindukia). Kama ndoa yenu inayumba leo ni kosa lake yeye, sio lako. So stop feeling guilty for something you did not cause. and stop trying to fix somebody else's mess.
Hata kama hujajipanga kulea watoto bila baba nadhani umefika hatua ya kubadili mipango sababu hawana baba tena. Mtu anakaa miezi 2 bila kuja home wakati anaweza, na akija anaondoka bila kuacha pesa. Na pale unapo jaribu kuongea nae anakujibu kuny* hafai kuitwa baba tena, amesha jitoa kwenye ndoa hiyo.
Mwache aendelee na huyo dada mngine, wewe jipange upya tu. Unaweza kuamua ku-divorce kabisa au unaweza kuamua separation tu (Ningeshahuri separation tu hadi pale utakapo kua na uhakika). Umesema unafanya kazi, basi anza kubadili taratibu zako za maisha ili mshahara wako uweze kufunika expences zako. Kama utakwama kabisa unaweza kuongea nae juu ya mahitaji ya watoto.
Usilazimishe, huyo mtu hakupendi, na inaonekana hajawahi kupenda in 5 years of marriage. Ukiendelea kua nae utapata magonjwa ya kila aina, kuanzia BP, moyo, depression hadi magonjwa ya zinaa. Don't let anyone ruin your life, move on!