Tatizo kuu linaloisibu tanzania ya sasa

Dangire

JF-Expert Member
Oct 5, 2011
221
68
Wajameni, katika kutafakari kwangu sijaona tatizo lililo kubwa zaidi kwa sasa zaidi ya CCM a.k.a chama cha magamba/mafisadi/nyinyiem. Mwalimu nyerere alisema maadui wakubwa ni ujinga,maradhi na umasikini. lakini kwa leo tunaona kuwa uwezekano wa kuondoa mataizo haya yote upo.hii ni kwa sababu tz tuna kila rasilimali ambazo zingetuwezesha kuwaondoa 'maadui' hao hapo juu. lakini sasa ni miaka zaidi ya 50 tz ikiwa 'huru' na bado tumeshindwa kupambana na maadui hao.

Hivyo basi, kati ya maadui wote tulionao kama nchi, CCM ndiye ADUI NAMBA MOJA. hii ni kwa sababu ndiyo iliyotufanya tufikie hapa (pa hovyo) tulipo. imeshindwa kuleta maendeleo yaliyotarajiwa baada ya miaka 50, inatudharau wananchi, inatunyonya, inatukebehi,inatuona ni mazuzu n.k.

WITO WANGU: CCM HAIKUBALIKI.TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA.
 
Wajameni, katika kutafakari kwangu sijaona tatizo lililo kubwa zaidi kwa sasa zaidi ya CCM a.k.a chama cha magamba/mafisadi/nyinyiem. Mwalimu nyerere alisema maadui wakubwa ni ujinga,maradhi na umasikini. lakini kwa leo tunaona kuwa uwezekano wa kuondoa mataizo haya yote upo.hii ni kwa sababu tz tuna kila rasilimali ambazo zingetuwezesha kuwaondoa 'maadui' hao hapo juu. lakini sasa ni miaka zaidi ya 50 tz ikiwa 'huru' na bado tumeshindwa kupambana na maadui hao.

Hivyo basi, kati ya maadui wote tulionao kama nchi, CCM ndiye ADUI NAMBA MOJA. hii ni kwa sababu ndiyo iliyotufanya tufikie hapa (pa hovyo) tulipo. imeshindwa kuleta maendeleo yaliyotarajiwa baada ya miaka 50, inatudharau wananchi, inatunyonya, inatukebehi,inatuona ni mazuzu n.k.

WITO WANGU: CCM HAIKUBALIKI.TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA.

Wewe utabaki kulaumu tu wenzio wanachapa kazi.
Kwanza wewe ndio tatizo la tanzania.
 
Back
Top Bottom