Tatizo kubwa-1: Cdm = ccm; let me be open...chadema katika hili mmeangushwa and you will die

Waberoya

Platinum Member
Aug 3, 2008
15,169
10,785
Wakati wengi tukilalamikia CCM kuwa ni wajinga, hawafai watoke madarakani na hawajui kujibu hoja. wana CDM wengi sana hasa walioko JF wanathibitisha ni jinsi gani wanavyoshabihiana na CCM kwa kila kitu, ikiwemo matusi, kukishindwa kujibu hoja, vijembe n.k

Is this could be realy politics or just wasting time??; mnakiharibu chama chenu, mnaharibu image yenu, mnaharibu sifa yenu, mnaharibu akili zenu, mnaaibika na kamwe chadema siku zijazo kinaweza kuwa cha mambumbumbu zaidi. Wengi hapa JF mkijionyesha ni wanachadema basi ndio raha yenu au kujionyesha mnajali...hii ni seduction au ndoto..bila akili wala kufikiri hatuchomoki kwa CCM kumbukeni watanzania hawa kuwageuza akili ni kitu cha masaa tu!

Leo mtu yuko radhi kupoteza muda kuwasema watu fulani wa CCM, na wakijitokeza angalau wazuri fulani kama akina MAGUFULI BASI CDM automatically imekufa na mpango mzima wa kuindoa CCM ndio unakufa!!! HII NI VITA NA WENYE AKILI TU NDIO WATAKASHINDA.

Tuhuma zinaelekezwa sana tu na zitaelekezwa tu kwa CDM tena sana, but we need shock absorbers to absorb this shock positively na sio kukurupuka na kuonyesha jinsi gani upeo wenu ulivyo dumavu. Akili za mikumbo ni mbaya sana na kwa kusema hivi sitasema tena . Ni jukumu la CDM kuwaaambia wanachama wenu jinsi gani ya kubehave.....watu wenye akili wataona huu ni ujinga na hamna tofauti na CCM tu wale wale.

Kujenga hoja ni ukomavu wa akili na ni tabia ya kiongozi bora na mfuasi bora.Hoja za billioni 20 mbona ni rahisi kuzijibu, matusi ya nini??

Siamini kama wengi ni failures humu...KAENI CHINI FIKIRI KABALA YA KUJIBU

Naanza kukiogopa chadema kwa mara nyingine tena. Mlinivuta juzi kwenye maadamano tunakoenda kama hamtabadilika kuna miaka 15 tena ya kuwaza kuingia madarakani. Na watu kama mimi tukisema ndio tumeamua!!

Hata siku moja haukuti constructive ideas za wana-CDM ni vijembe, kupeana taarifa, kulalamika, kutukana, n.k THESE ARE NOT THINKERS PLEASE DONT CONVINCE ME OTHERWISE!


Hakuna mtanzania aliyetayari kuwapa uongozi wa nchi chama ambacho viongozi wake wako smart lakini wafuasi wengi ni mbumbumbu!

CUF walianza vizuri viongozi walikuwa smart na wafuasi wao walikiangusha chama wakakipa title ya uislamu na leo hii kimeishakufa..afadhali ya CUF kipewe titile ya udini kuliko CDM kipewe title ya kuwa wafuasi wake ni wajinga! sitaki kufika huko!
 
Si unajua mzee hapa ndani Great thinker=Chadema

sisi mtazamo tofauti tukitoa hoja wana wana shout tunaambiwa toa upupu hahahaha
 
Tolea mfano Mzee ujinga wa wafuasi wa JF ni upi mbona unaonekana umekasirika badala ya kushauri manake hata wewe unaonyesha unataka wafuasi wa CDM wakubalikubali tu mambo hata yale yasiostahiki
 
unataka cdm wafanye nini mkuu? serikali inakopeshwa fedha za kulipa watumishi wake kutoka kwa PATEL? nchi iko mifukoni mwa ma********* ... peleka upupu wako kwa mamako, mjombako,shangazio, bashako, na ukoo wako ulio chakachuliwa... Tanzania hii yenye rasilimali kedekede imekuwa ya kukopa kwa SHUBASH PATEL?...xxx....xxxx
 
Wakati wengi tukilalamikia CCM kuwa ni wajinga, hawafai watoke madarakani na hawajui kujibu hoja. wana CDM wengi sana hasa walioko JF wanathibitisha ni jinsi gani wanavyoshabihiana na CCM kwa kila kitu, ikiwemo matusi, kukishindwa kujibu hoja, vijembe n.k

Is this could be realy politics or just wasting time??; mnakiharibu chama chenu, mnaharibu image yenu, mnaharibu sifa yenu, mnaharibu akili zenu, mnaaibika na kamwe chadema siku zijazo kinaweza kuwa cha mambumbumbu zaidi. Wengi hapa JF mkijionyesha ni wanachadema basi ndio raha yenu au kujionyesha mnajali...hii ni seduction au ndoto..bila akili wala kufikiri hatuchomoki kwa CCM kumbukeni watanzania hawa kuwageuza akili ni kitu cha masaa tu!

Leo mtu yuko radhi kupoteza muda kuwasema watu fulani wa CCM, na wakijitokeza angalau wazuri fulani kama akina MAGUFULI BASI CDM automatically imekufa na mpango mzima wa kuindoa CCM ndio unakufa!!! HII NI VITA NA WENYE AKILI TU NDIO WATAKASHINDA.

Tuhuma zinaelekezwa sana tu na zitaelekezwa tu kwa CDM tena sana, but we need shock absorbers to absorb this shock positively na sio kukurupuka na kuonyesha jinsi gani upeo wenu ulivyo dumavu. Akili za mikumbo ni mbaya sana na kwa kusema hivi sitasema tena . Ni jukumu la CDM kuwaaambia wanachama wenu jinsi gani ya kubehave.....watu wenye akili wataona huu ni ujinga na hamna tofauti na CCM tu wale wale.

Kujenga hoja ni ukomavu wa akili na ni tabia ya kiongozi bora na mfuasi bora.Hoja za billioni 20 mbona ni rahisi kuzijibu, matusi ya nini??

Siamini kama wengi ni failures humu...KAENI CHINI FIKIRI KABALA YA KUJIBU

Naanza kukiogopa chadema kwa mara nyingine tena. Mlinivuta juzi kwenye maadamano tunakoenda kama hamtabadilika kuna miaka 15 tena ya kuwaza kuingia madarakani. Na watu kama mimi tukisema ndio tumeamua!!

Hata siku moja haukuti constructive ideas za wana-CDM ni vijembe, kupeana taarifa, kulalamika, kutukana, n.k THESE ARE NOT THINKERS PLEASE DONT CONVINCE ME OTHERWISE!


Hakuna mtanzania aliyetayari kuwapa uongozi wa nchi chama ambacho viongozi wake wako smart lakini wafuasi wengi ni mbumbumbu!

CUF walianza vizuri viongozi walikuwa smart na wafuasi wao walikiangusha chama wakakipa title ya uislamu na leo hii kimeishakufa..afadhali ya CUF kipewe titile ya udini kuliko CDM kipewe title ya kuwa wafuasi wake ni wajinga! sitaki kufika huko!


Mkuu kuna mtu ameiba passowrd yako? Huyu si wewe kiongozi!

Umetumia vigezo gani kujua wananchama wa Chadema humu? Mkuu, si kila mtu anaye support Chadema ni mwanachama wa Chadema. Vivo hivyo si kila anayesupport CCM ni mwanachama wa CCM. Wengine tunasupport sera zao na ndizo zinatufanya tupige kura kwa chama fulani. Ndo maana naona hii thread yako..imekuwa kama sweeping statement-full of assumptions kwa kufikiri kwamba kila anayetetea Chadema ni mwanachadema.

Kuna watu wengine humu they simply hate CCM kwa sababu ni failures! Yet, this does not mean kwamba they support CHADEMA. In fact mi ndo nashangaa ninapoona watu wanasema JF ni forum ya CHADEMA. This is wrong precisely because not every CCM basher is pro CHADEMA.
 
unataka cdm wafanye nini mkuu? serikali inakopeshwa fedha za kulipa watumishi wake kutoka kwa PATEL? nchi iko mifukoni mwa ma********* ... peleka upupu wako kwa mamako, mjombako,shangazio, bashako, na ukoo wako ulio chakachuliwa... Tanzania hii yenye rasilimali kedekede imekuwa ya kukopa kwa SHUBASH PATEL?...xxx....xxxx
Mzee tafadhali bwana weka angalau uthibitisho kama shubash Patel katuwezesha tupatiwe mishahara yetu mwezi huu hii itakuwa matusi makubwa
 
Leo mtu yuko radhi kupoteza muda kuwasema watu fulani wa CCM, na wakijitokeza angalau wazuri fulani kama akina MAGUFULI BASI CDM automatically imekufa na mpango mzima wa kuindoa CCM ndio unakufa!!! HII NI VITA NA WENYE AKILI TU NDIO WATAKASHINDA.

Una uhakika kama Magufuli ni mtu mzuri??

Pia labda nikuulize wewe mwenyewe unajiweka katika kundi gani?

Maana kwa post hii huonekani kuwa ni tofauti na hao unaowalalamikia!!
 
Wakati wengi tukilalamikia CCM kuwa ni wajinga, hawafai watoke madarakani na hawajui kujibu hoja. wana CDM wengi sana hasa walioko JF wanathibitisha ni jinsi gani wanavyoshabihiana na CCM kwa kila kitu, ikiwemo matusi, kukishindwa kujibu hoja, vijembe n.k

Is this could be realy politics or just wasting time??; mnakiharibu chama chenu, mnaharibu image yenu, mnaharibu sifa yenu, mnaharibu akili zenu, mnaaibika na kamwe chadema siku zijazo kinaweza kuwa cha mambumbumbu zaidi. Wengi hapa JF mkijionyesha ni wanachadema basi ndio raha yenu au kujionyesha mnajali...hii ni seduction au ndoto..bila akili wala kufikiri hatuchomoki kwa CCM kumbukeni watanzania hawa kuwageuza akili ni kitu cha masaa tu!

Leo mtu yuko radhi kupoteza muda kuwasema watu fulani wa CCM, na wakijitokeza angalau wazuri fulani kama akina MAGUFULI BASI CDM automatically imekufa na mpango mzima wa kuindoa CCM ndio unakufa!!! HII NI VITA NA WENYE AKILI TU NDIO WATAKASHINDA.

Tuhuma zinaelekezwa sana tu na zitaelekezwa tu kwa CDM tena sana, but we need shock absorbers to absorb this shock positively na sio kukurupuka na kuonyesha jinsi gani upeo wenu ulivyo dumavu. Akili za mikumbo ni mbaya sana na kwa kusema hivi sitasema tena . Ni jukumu la CDM kuwaaambia wanachama wenu jinsi gani ya kubehave.....watu wenye akili wataona huu ni ujinga na hamna tofauti na CCM tu wale wale.

Kujenga hoja ni ukomavu wa akili na ni tabia ya kiongozi bora na mfuasi bora.Hoja za billioni 20 mbona ni rahisi kuzijibu, matusi ya nini??

Siamini kama wengi ni failures humu...KAENI CHINI FIKIRI KABALA YA KUJIBU

Naanza kukiogopa chadema kwa mara nyingine tena. Mlinivuta juzi kwenye maadamano tunakoenda kama hamtabadilika kuna miaka 15 tena ya kuwaza kuingia madarakani. Na watu kama mimi tukisema ndio tumeamua!!

Hata siku moja haukuti constructive ideas za wana-CDM ni vijembe, kupeana taarifa, kulalamika, kutukana, n.k THESE ARE NOT THINKERS PLEASE DONT CONVINCE ME OTHERWISE!


Hakuna mtanzania aliyetayari kuwapa uongozi wa nchi chama ambacho viongozi wake wako smart lakini wafuasi wengi ni mbumbumbu!

CUF walianza vizuri viongozi walikuwa smart na wafuasi wao walikiangusha chama wakakipa title ya uislamu na leo hii kimeishakufa..afadhali ya CUF kipewe titile ya udini kuliko CDM kipewe title ya kuwa wafuasi wake ni wajinga! sitaki kufika huko!

Baada ya mgufuli kupigwa kufuli na mizengwe, sasa, sasa, sasa wanakwenda cdm 2015. we semasema tu.:juggle:
 
Wapendwa.
Kwa siku za hivui karibuni kumeibuka mpambanop mkali sana(kwa mjibu wa post za mebers kuhusu siasa) ambapo wapenzi,wafuasi na wakereketwa wa vyama hivyo wanashambuliana ile mbaya.Ile ya zamani ambapo CHADEMA walionekana kuwafunga bao wenzao wa CCM humu JF(2005-2010) sasa naona kama CCM wamesawazisha bao la kwanza katika kipindi hiki cha kwanza(2010-2015).

Wachezaji wa timu ya CHADEMA naona inaongzwa na No avatar na CCM ......Mwamuzi moderator JF wanachezesha fear play.Sisi watazamaji tunaendelea kutazama pambano(kusoma post na comment za members).

Ukitaka kutazama mpambano huu,tembelea JF kila mara.

mimi ni mtagazaji wenu MB wa redio JF
 
Majority humu tunatumia majina bandia, hasa umehakikisha vipi kila anayesupport chadema ni mwanachama wao? au unataka chadema kama chama wafanye lipi kuwacontrol wana forum wanao wa support?
 
Waberoya nadhani umekosa cha kufanya ukaamua kuandika hii kitu.
Umejifanyij maamuzi kuwa jf = cdm, unawataka watu watengeneze hoja ya kumjibu mtu kama jay kay ambaye anakteta crap na anajua ni crap? Tumjibu kwa ustaarabu upi mtu anayesema cdm wamepewa 20bil na nchi za nje ili kuvuruga nchi?
 
Waberoya CHADEMA this, CHADEMA that!!!!! all day long all night long, why don't u just leave them alone? They say if u see every contestant around u is incompetent (according to ur stds) then it is time for you to step in. Lakini hii habari ya kushambulia CHADEMA kila kukicha as if ndiyo imeshika dola ni aina nyingine ya upuuzi. And mind you, kussuport Slaa au Mbowe haimaanishi wewe ni CHADEMA unless this is a new std u wanna bring in.......... Kama watu wa CHADEMA na CHADEMA ni wajinga kama ulivyosema just leave them alone and go to the side of the bravery!!!!!!! Otherwise hauna tofauti na wale walio bize kuonghelea CCM kila kukicha.
 
wambie maana wana matusi mia si kidogo

Naona Mnauvamia sana JF mmeshindwa kujibu hoja za Chadema huko Mitaani mnakuja humu kwenye JF muungwe mikono:lol: Mna akili kama za Makamba katibu wenu wa mipasho na Miropoko. Mmeishiwa sera:smash:
 
kwani wewe Waberoya unahitaji Binnocular kujua udini wa CUF umeanzishwa na CCM?? na je wajua kwamba kipindi flani cha uchaguzi kuna uzushi wa contenna za silaha kukamatwa pale bandarini ambazo zimeagizwa na CUF??hadi ule msemo wa T.M.K ''Mapanga Sh'aaaa'' wakawa wanautumia sana Viongozi CCM kuiua CUF..je wakumbuka??

Kuna watu humu mawazo yao ni mgando sana, kwahiyo unataka tuwaache tu??wanaleta thread nosense, tukiwavamia unasema sisi hatuna akili??Sio tu hoja ya Bilion 20..zipo nyingi. Kuna mtu humu kaingia juzi tu anaitwa Kupeng'e, hembu angalia thread zake anazoleta, halafu member wakichachamaa we unavimba kichwa.
 
Wewe ni mtu mbinafsi sana na unayependa watu waandike kile unachofikiri wewe na kinachokupendeza, ndo maana unakuwa bendera fata upepo ukiona CDM imewasha moto mkubwa unaipongeza ukiona wako kimya rangi yako inabadilika. Unategemea wanachama na wapenzi wa chadema wajibu kwa umahiri gani thread za uzushi na kashfa kwa chama na viongozi wao zinazopostiwa toka asubuh na mtu anaitwa KUPENG'E AU JOYCEPAUL. Acha vitisho vya kuita watu wenye uelewa wao mbumbumbu na kujifanya unaijua sana siasa, mbona wewe hujatoa mchango wako huko wa kitaalamu? Dharau si kitu kizuri.
 
Ndugu yangu Waberoya kumetokea nini maana yaonekana umeghafirika kweli.

Usijipandishe pressure bure hapa wengine wanaandika wanachokiamini na wasichokiamini simply its the only place where we dare to talk openly.
We should take pride in the fact that people can at least speak their mind be it good or bad.
Juu ya hayo kumbuka kuna watu hapa wanaandika provocative posts ambazo hukwaza wengine hasa ukitambua kwamba hatulingani katika kukabiliana na mizaha.

Pamoja tutafika!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu ingawa umeongea kwa jazba, nadhani kuna jambo Chadema wanaweza kujifunza kutoka kwenye hili angalizo lako. Hata mimi huwa najiuliza iwapo CCM wakianza mikakati ya kusafisha chama na kuwajibika, Chadema wana mikakati gani mingine ya kuendelea kujipatia sapoti ya Umma kama ilivyo sasa?
 
Wakati wengi tukilalamikia CCM kuwa ni wajinga, hawafai watoke madarakani na hawajui kujibu hoja. wana CDM wengi sana hasa walioko JF wanathibitisha ni jinsi gani wanavyoshabihiana na CCM kwa kila kitu, ikiwemo matusi, kukishindwa kujibu hoja, vijembe n.k

Is this could be realy politics or just wasting time??; mnakiharibu chama chenu, mnaharibu image yenu, mnaharibu sifa yenu, mnaharibu akili zenu, mnaaibika na kamwe chadema siku zijazo kinaweza kuwa cha mambumbumbu zaidi. Wengi hapa JF mkijionyesha ni wanachadema basi ndio raha yenu au kujionyesha mnajali...hii ni seduction au ndoto..bila akili wala kufikiri hatuchomoki kwa CCM kumbukeni watanzania hawa kuwageuza akili ni kitu cha masaa tu!
Leo mtu yuko radhi kupoteza muda kuwasema watu fulani wa CCM, na wakijitokeza angalau wazuri fulani kama akina MAGUFULI BASI CDM automatically imekufa na mpango mzima wa kuindoa CCM ndio unakufa!!! HII NI VITA NA WENYE AKILI TU NDIO WATAKASHINDA.

Tuhuma zinaelekezwa sana tu na zitaelekezwa tu kwa CDM tena sana, but we need shock absorbers to absorb this shock positively na sio kukurupuka na kuonyesha jinsi gani upeo wenu ulivyo dumavu. Akili za mikumbo ni mbaya sana na kwa kusema hivi sitasema tena . Ni jukumu la CDM kuwaaambia wanachama wenu jinsi gani ya kubehave.....watu wenye akili wataona huu ni ujinga na hamna tofauti na CCM tu wale wale.

Kujenga hoja ni ukomavu wa akili na ni tabia ya kiongozi bora na mfuasi bora.Hoja za billioni 20 mbona ni rahisi kuzijibu, matusi ya nini??

Siamini kama wengi ni failures humu...KAENI CHINI FIKIRI KABALA YA KUJIBU

Naanza kukiogopa chadema kwa mara nyingine tena. Mlinivuta juzi kwenye maadamano tunakoenda kama hamtabadilika kuna miaka 15 tena ya kuwaza kuingia madarakani. Na watu kama mimi tukisema ndio tumeamua!!

Hata siku moja haukuti constructive ideas za wana-CDM ni vijembe, kupeana taarifa, kulalamika, kutukana, n.k THESE ARE NOT THINKERS PLEASE DONT CONVINCE ME OTHERWISE!


Hakuna mtanzania aliyetayari kuwapa uongozi wa nchi chama ambacho viongozi wake wako smart lakini wafuasi wengi ni mbumbumbu!

CUF walianza vizuri viongozi walikuwa smart na wafuasi wao walikiangusha chama wakakipa title ya uislamu na leo hii kimeishakufa..afadhali ya CUF kipewe titile ya udini kuliko CDM kipewe title ya kuwa wafuasi wake ni wajinga! sitaki kufika huko!

Ndugu yangu ningekuona wa maana kama usingetumia jasba, angalia humo kwenye "red".
 
Ndugu yangu Waberoya kumetokea nini maana yaonekana umeghafirika kweli.

Usijipandishe pressure bure hapa wengine wanaandika wanachokiamini na wasichokiamini simply its the only place where we dare to talk openly.
We should take pride in the fact that people can at least speak their mind be it good or bad.
Juu ya hayo kumbuka kuna watu hapa wanaandika provocative posts ambazo hukwaza wengine hasa ukitambua kwamba hatulingani katika kukabiliana na mizaha.

Pamoja tutafika!!!!!!!!!!!!!

intellectually spoken..well said
 
Back
Top Bottom