X-not
Member
- Sep 9, 2010
- 58
- 4
Habari waungwana.
Ninaomba msaada katika kutatua hili tatizo.
Ninapenda sana kutumia browser ya operamini katika simu zangu zaidi hata ya browser ya simu yenyewe.
Lakini hivi karibuni nikijaribu kutumia operamini inakataa kabisa inachofanya ina-load tu halafu hata haifungui, tatizo hili nimesikia pia kutoka kwa watu wangu wa karibu wengi wakiwa wanatumia mitandao ya tigo, lakini hata wakibadili kwenda kweye Voda bado wanapatwa na tatizo hilo. Simu inaonyesha kabisa kwamba inapokea acess ya internet kwa kuonyesha alama ya E au G lakini haiwezekani kufunguka, tafadhari yeyote anayeweza nisaidia.
Ninaomba msaada katika kutatua hili tatizo.
Ninapenda sana kutumia browser ya operamini katika simu zangu zaidi hata ya browser ya simu yenyewe.
Lakini hivi karibuni nikijaribu kutumia operamini inakataa kabisa inachofanya ina-load tu halafu hata haifungui, tatizo hili nimesikia pia kutoka kwa watu wangu wa karibu wengi wakiwa wanatumia mitandao ya tigo, lakini hata wakibadili kwenda kweye Voda bado wanapatwa na tatizo hilo. Simu inaonyesha kabisa kwamba inapokea acess ya internet kwa kuonyesha alama ya E au G lakini haiwezekani kufunguka, tafadhari yeyote anayeweza nisaidia.