Ndyo naenda myUnaenda?
PoaaNdyo naenda my
Sawa mkuuHaina madhara yoyote. Chuo utaenda lakini itakuongezea ukakamavu tu. Kama mtaani kuna ishu ya maana ya kuingiza PESa usiende saka hela.
Sawasawa asante kwa ushauriUsiende mwaya, we kaa tu nyumbani
Jicho man jichooo....!! Hilo jicho bora usiende kabisa.Ok mkuu
co languu manJicho man jichooo....!! Hilo jicho bora usiende kabisa.
Nackia hyo kawaidaVipi na hawa wenetu wa kike? Huwa hawawa...... huko?
Kwa mantiki hiyo wangu haendi, wakimyima kazi hapo mbeleni powa tu. Atasimamia miradi yangu na nitamlipa mshahara wakueleweka ambao huko asingepewa.Nackia hyo kawaida
Mwache tu aende kulko abaki alafu achepuke...cbora angeenda...Kwa mantiki hiyo wangu haendi, wakimyima kazi hapo mbeleni powa tu. Atasimamia miradi yangu na nitamlipa mshahara wakueleweka ambao huko asingepewa.
Bora achepuke home kuliko kuchepuliwa na maafande na makuruta.Mwache tu aende kulko abaki alafu achepuke...cbora angeenda...
Atapata cheti lakn,je home?c mimbaaBora achepuke home kuliko kuchepuliwa na maafande na makuruta.
Dogo mimi nakushauri uende 7bu huwez jua matumizi ya kile cheti cha jkt huko mbeleni halafu hii kozi ni ya lazima,kwa mliochaguliwaHabari wana JF ,
Kuna tatizo gani endapo mtu hatakwenda JKT kwa mujibu wa sheria baada ya kuchaguliwa?
Naombeni ushauri tafadhali
Kwa gariMdogo wangu amepelekwa jkt mlale hikambi VIP na unafikaje hapo