Dangire JF-Expert Member Oct 5, 2011 221 68 Jun 6, 2012 #21 ni kama vile anawaambia "hata kama mkihama ccm na kwenda cdm, mimi sijali. hata nikibaki peke yangu, chama kitaendelea"
ni kama vile anawaambia "hata kama mkihama ccm na kwenda cdm, mimi sijali. hata nikibaki peke yangu, chama kitaendelea"
R ralphjn Senior Member Jun 1, 2012 169 31 Jun 6, 2012 #22 CCM kwa uchache sana imabaki mkoa wa pwani.
N nrashu Senior Member Oct 4, 2010 144 63 Jun 6, 2012 #23 alikopita wanacheka anakoelekea wamununa wakiangalia mikoni kwa makini sana.
N Njoka Ereguu JF-Expert Member Apr 7, 2012 821 335 Jun 6, 2012 #24 Wazee wanasubiri mgao wa tshirt mpya, na kicheko cha kulazimisha.