Tathmini ndogo tu ya ahadi zilizotimizwa tayari na CHADEMA Arusha kupitia kwa G. Lema

Jama tujifunze kukubali vitu vizuri hata kama vidogo, manji aliwalipia watazamaji mwanza kwenye mechi ya yanga, pesa ambayo angeweza kusomeshea watoto wengi tu, kwa rema kuangalia vipaombele vya taifa hapa nampongeza ninyi magamba mnaweza kuona ni kidogo sana but kwa mtu wa hali ya chini anakubali sana, ndo maana hata jk hapendwi na watu wa chini sababu ameshindwa kumaliZa matatizo madogo sana kama ya maji na umeme na wala haonyeshi juhudi za kuyamaliza.

Mkuu Henge.
Kwani Manji na mbunge? Kwa nini usitolee mfano gharama za Helicopter ya Chadema pesa yake unaweza kusomesha watoto wa ngapi?
 
Imnyagi,
Sina haja ya kujaza server ya JF kwa kurudia rudia ahadi za Lema ambazo zipo kwenye thread nyingi sana hapa.

Nieleze, kiuchumi lema amefanya nini? Uchumi wa Arusha sasa upoje?
Kisiasa..siasa za Arusha zipoje? Ameshindwa hata kuwamanage madiwani wake na kufanya nao kazi pamoja. Utulivu upo?
Kijamii..social responsibility yake iko poor kabisa. Hiyo kusomesha watoto everybody can do. Hospital za Arusha zina hali gani? Ushafika hapo kalolen? Mount Meru je? Shule za Arusha zina hali gan? Maisha ya wakaz wa Arusha yapoje?

Hakuna kazi au maendeleo unayoweza kuyaleta bila kuwa na Nidhamu, utu na haki kwa wale unaowangoza hasa kwa wanasiasa.

Kama kuna watu walikufa na kumwaga damu na wengine kuwa vilema wa maisha kwa kuwatetea hao madiwani ambao walitakiwa kuongoza lakini wao wakawasaliti na kuhongwa vyeo na meya aliyeingia kwa hila halafu hapo hapo mkapewa nafasi ya kujitetea na kuomba msamaha kwa viongozi wa chama na wananchi lakini mnakataa kwa viburi HAO WATU WANATAWALIKAJE? Moja ya sifa ya kiongozi ni kuwajibika kwa watu wake walio hai na waliomwaga damu kwa ajili ya kutetea madaraka yako halafu unawatosa!?

Kuhusu Mji wa Arusha na hospital zake na mazingira yake nimeshaeleza hapo awali kuwa nina muda mrefu hapa Arusha na siku zote hospitali za mji huu ulikuwa wagonjwa na wamama wanaojifungulia chini katika hali ya uchafu sana na hali ya mapato ya halmashauri yanaingia kutoka kila upande na kuna wafadhili wa miradi mingi kutoka kwa watalii na wageni wengi wanaofanyakazi kwenye mashirika ya kigeni lakini hata kuboresha hizo huduma walishindwa na miaka 50 ya uhuru hali bado haipo sawa Lema ndiyo kwanza ana mwaka mmoja tu na hana Halmashauri lakini amefika hapo alipo.

Rejao mimi na wewe hatufamiani lakini nadhani kila mmoja ana Imani yake kwa Mungu wake kuna kitu kinaitwa Haki na Haki ni zaidi ya Sheria nakushauri upime mwenyewe na uone unachokitetea kuna haki na zaidi sana njoo na hoja za msingi tulinganishe tumetoka wapi tangu uhuru na tuna uwezo na rasimali gani na tumezifanyia nini kupitia watawala wetu waliopita.
 
Sawa mbona kikwete anaendesha nchi kwa misaada wakati nchi yake inarasimali ya kujiendesha yenyewe kikwete kila kukicha analeta wafadhili kufadhili nchi siyo kila jambo waweza kuliponda nimeshakuambia unapenda kufuatilia ahadi za Lema za kikwete ufuatili embu tuambie kikwete mbakas sasa kafanya nini bila misaada????

Wewe niite utakavyo mie kutukanwa humu JF ni sehemu ya maisha yangu!
 
Analysis yako inge base kwenye cheap popularity at least hizo point zinge suffice otherwise, for the purpose of keeping things clear twende hivi, kama walivyosema wengine swala la kusomesha wanafunzi hata 1000 kwanza hiyo haiwezi kuwa ahadi kwa Mbunge bali ni wajibu wa kwake aidha yeye binafsi au kutumia rafiki zake hivyo binafsi nitampongeza kwa kutimiza wajibu wake kama alivyosema Mwalimu "it can be done play your part" so that's what exactly Lema trying to accord with (anatimiza wajibu wake) vile vile swala la kutoa elimu juu ya haki na demokrasi kwa wananchi huo ni wajibu



Jambo la pili ambalo pia halikuwa moja kati ya ahadi but was incidental to.... ni swala la Ambulance na Tractor; hili liko hivi waungwana the so called friends of Lema walimwezesha Lema kwa hiyo Ambulance ya Pili ila ile ya Kwanza pamoja na Tractor jaribu kumwuliza Lema ili awaambie ukweli na kama atabisha basi mwulizeni Mzee Ndesa Pesa this Mzee knows better than anyone else iliotoka Tractor pamoja na Ambulance ya Kwanza pamoja na ushauri wake kwa Lema juu ya ama utekelezaji au lah wa zile ahadi alizozitoa Lema na nitazingumzia hapa chini kwa ufupi japo zimeshawahi kuzungumziwa mara nyingi sana.


Moja ya ahadi kubwa na iliyokuwa ya matumaini sana kwa Lema ni Ujenzi wa aliyiita yeye Machinga Compex katika eneo la Stand akijaribu kushawishi wananchi kuwa Stand ingehama halafu ujenzi huo ambao alisema utaweza kuajiri zaidi ya vijana 15,000 Mkoani Arusha. Lakini kwa watu wenye kufikiri na kuzifahamu taratibu waliishia kujiuliza je hii ahadi ya Mbunge ameshafanya consultation na Afisa Mipango Miji ili kujua kama hilo litafaa au lah??? Wakajua tu hili laweza kuwa changa la macho. Na mpaka kesho kama wakaazi wa Arusha bado twalingojea na cha kusikitisha hatusikii likizungumziwa tena ama kwenye mikutano au kwenye magroup yake....... Bado tunasali il akumbuke

Ahadi nyingine ni uhamishwaji wa Hospitali ya Mt. Meru na eneo la Hospitali kupewa Mwekezaji hili nalo hatujajua mikakati yake au ndo ndoto za alinacha...... Bado tunasubiri manake ndo kwanza Mwaka wa Pili tunaamini labda mazungumzo yanaendelea baina ya Mwekezaji na Mhe. Mbunge wetu kijana tukitazamia mafanikio.

Swala lingine ambalo ni kero ni swala la barabara Mhe aliahidi mengi makubwa ila cha kushangaza na kustaajabisha kaamua kuwaruhusu wananchi kuuza nyanya barabarani watu wa Arusha mnalifahamu hili pale Soko kuu ile barabara ukitoka sheli ya mama Maeda maeneo ya Ottu na ule mtaa wa pili ilipo branch ya NMB ile barabara inayoelekea Stadium nayo inaelekea kufungwa na wafanyabiashara. Mbunge kaogopa kuwaambia wananchi ukweli its very awkward kama Mbunge huwezi kuwa Mkweli, Consistenc, huwezi kusimamia maneno yako, better be called any other name.

Serikali yetu imeshindwa kutofautisha kati ya Siasa na mambo meninge ya maendeleo kila kitu kwao ni siasa sasa na sisi wanajamvi tunakoelekea tunashindwa kutofautisha kati ya ahadi na wajibu wa viongozi wetu. Mwambieni Lema ukweli manake hayo yote mliyoitaa ahadi ambazo kwangu ni wajibu Wabunge wenzie wanafanya tena bila kuhitaji kuandikwa katika magezeti ama kwenye mitandao ya kijamii manake wanatambu kuwa wafacho ni wajibu wao si tu kama Mbunge bali kama Mtanzania mpenda maendeleo na katika hili Mwalimu alishasema "ninyi mliopata bahati ya kupata elimu mna wajibu wa kurudi kwenu ili elimu yenu inufaishe wengine ila msipofanya hivyo mtakuwa wasaliti"

Hata sisi tunampenda huyo Mbunge ila amepotoka kwa kutafuta jina badala ya kutimiza yampasayo, mshaurini barabara na akubali kujirudi sisi ugomvi wao na huyo Meya hautuhusu tunahitaji Arusha iwe mahala salama na pazuri kwetu na vizazi vyetu.... Tunatambua anajenga kasri Njiro anastahili pongezi ila hayo ni yake binafsi maendeleo kama hayo ndiyo tunayohitaji nasi wananchi wake...........

Wishing you Luck Godbless Lema
 
Siwezi kuwa na wivu wa kisiasa kwa kijana mdogo kama Lema. Nimemfaham huyu jamaa kabla hata hajajiunga TLP. Ni mtu anayenunulika kirahisi sana. Nafikiri mnakumbuka kilichotokea 2005

Wacha kujisifu ***** wewe eti unamfahamu Lema kabla hata hajajiunga TLP embu niambie umemfahamia wapi Lema unapo sema unamfahamu napatwa na wasiwasi nyie sio wale mnao kwenda kwenye msiba wa mtoto mdogo unalia una sema umesoma naye!!!
 
Nimepitia hii yote sijaona sehemu yoyote Lema, katumia pesa yake kama mbunge..

Hizo Ambulance mbili umesema zimetolewa na wafadhili wake, ilo la kusomesha watoto yatima shule za kata, limetolea ufafanuzi na Rejao na Mchuzi wa Bata.

Lema alikataa bajaji halafu akachukua milioni 90 kununulia gari lake binafsi.

Posho na mikopo anayochukuwa bungeni unajua kazi yake? Anajenga jumba la kifahari maeneo ya Njiro, vipi kaishawambia?

Mbona ujaweka zile ahadi za Machinga Complex mbili.

Njoo na tathimini ingine hii umechemka hakuna kitu.

Hivi ritz ukiwa mbunge unatakiwa utumie hela zako kuendeleza jimbo? Kwa style hii Igunga kusingekuwa na uasikini wa kiwange kile wakati mbunge wao RA ni tajiri mkubwa lakini hayo majimbo ambayo yana wabunge matajiri na la Mo. Dewji ndiyo masikini na wananchi wanaishi kwenye nyumba za ajabu kabisa.

Bajaji na ambulence mbili zipi bora? Na je mbunge hatakiwi kuwa na gari? Anatakiwa atembee na miguu au gari lake linashuka kotoka mbinguni halinunuliwi?

Mbunge Lema hana haki ya kujenga nyumba kwa kutumia njia halali za mikopo? Na mbona wengine wameibia serikali wakajenga majumba makubwa na mahoteli na kuuza vipande vya ardhi kwa wageni na kuhongwa suti je unataka Lema awe mtu wa aina hiyo inayokupendeza wewe na kuwakera watu 34ml. Ambao hawakuipa ccm kura?

Nenda kajifunze ujue maana ya uongozi maana sina muda wa kutosha kukuelezea hapa ila moja sifa ya kiongozi ni kuwa mipango yaani short term na long term Plan hivyo kama ameweza yeye na chama chake kufika hapo alipo nina matumaini kuwa miaka minne anaweza kumalizia yaliyobaki ikiwemo machinga complex na hata zaidi maana wenye akili timamu tuko nyuma ya CDM. Ndugu kajipange uje na hoja za maana zenye kujenga Taifa na siyo ushabiki wa vyama.
 
LiverpoolFC,
Ushauri wangu kwenu wanachadema, kinachowaangusha kwa sasa ni kuwa optmistic. Mnakuwa kama mmelishwa limbwata na Lema. Hamuoni anavyoliharibu jiji la Arusha. Fuatilia mapato ya Arusha yanavyoshuka kwa kasi. Arusha siyo sehemu salama tena hata kwa vacation. Sasa hivi tunaopt for Nairobi instead of Arusha. Vurugu zake zinaipeleka Arusha pabaya.

Ni kweli Arusha siyo salama tena kwa mafisadi kuja kulia hela za walipa kodi hapa siyo mahala pake na ndiyo maana hata JK.anachagua njia za kupita anapokuja Arusha ikiwemo uwanja wa ndege anachagua atulie wapi maana hana amani ya kukatisha mji huu CDM.imewaelimisha watu na sasa wanajua haki zao hawataki upuuzi tena.
 
Mkuu Henge.
Kwani Manji na mbunge? Kwa nini usitolee mfano gharama za Helicopter ya Chadema pesa yake unaweza kusomesha watoto wa ngapi?

Unaona sasa hunaga hoja ya kujibu zaidi ya kuandika upupu wako wewe unaonaga helicopter ya chadema kwani ccm hawana hau hawakuwahi kutumia helicopter nakama wametumia haikutumia hela?? nikikuambia ukweli unasema umetukanwa
 
Siwezi kuwa na wivu wa kisiasa kwa kijana mdogo kama Lema. Nimemfaham huyu jamaa kabla hata hajajiunga TLP. Ni mtu anayenunulika kirahisi sana. Nafikiri mnakumbuka kilichotokea 2005

Inawezekana ni kweli pale alipokuwa hajakomaa ki siasa lakini kwa sasa yuko na chama makini amekuwa na ameacha na kama huamini omba fedha kwenye chama chako halafu nenda kamnunue kama utafika bei yake.
 
Heee, haya alishayaongea mwenyewe kwenye thread yake iliyododa hapa hapa JF: Angalia pongezi alizopewa Regia na za Lema;

Kuna siku mtoto ataona mfalme yuko uchi time is coming; kwa kweli Lema usijidanganye your performance is still poor.... watu hawali hotuba ndugu yangu.

Kama jina lako lilivyo ndivyo ulivyo! Mimi hapa nimetoa Tathimini ya mbunge wangu na wewe lete ya mbunge wako na cv. Yake kwa wananchi wa Tanzania kwenye hoja za Ki Taifa kama wanavyofanya wabunge wa Chadema na MB. Lema kwa ujumla.
 
Mkuu Henge.
Kwani Manji na mbunge? Kwa nini usitolee mfano gharama za Helicopter ya Chadema pesa yake unaweza kusomesha watoto wa ngapi?

Vipi kuhusu Helkopta ya CUF ambayo mliwapa moja wawasaidie kugawanya kura Igunga! Kua basi ndugu yangu.
 
Kama jina lako lilivyo ndivyo ulivyo! Mimi hapa nimetoa Tathimini ya mbunge wangu na wewe lete ya mbunge wako na cv. Yake kwa wananchi wa Tanzania kwenye hoja za Ki Taifa kama wanavyofanya wabunge wa Chadema na MB. Lema kwa ujumla.

Pole ndugu yangu; naona unajitahidi kutengeneza ilani mpya ya uchaguzi ya Lema na utekelezaji wake!!! But, I can assure you jamaa wata-mu-evaluate and rate his performance against ilani aliyotangaza kipindi cha uchaguzi 2010 and nothing less than that!

Kosa kubwa mbunge ame-ji-distance na halmashauri sehemu ambayo ndio hela nyingi za Serikali zinapoenda; anajidanganya ati yeye na marafiki wake watafanya makubwa kuliko halimashauri.... hizi ni ndoto za Alinachaa.... Subiri 2015 ndio utajua Watanzania ni watu wa namna gani, achana na waTanzania bwana hawasemi openly lakini kwenye kura je!!!!

I want to remind you yaliyomkuta JK.

Wakati akiwa Dodoma kwenye mkutano mkuu wa chama wenye wajumbe toka nchini kote... alipewa kura sijui 99% kuruhusiwa kugombea urais.... akidhani that number at least reflect the reality at the ground, kwenye uchaguzi wenyewe 61%.... Muulize Laytonga, Muulize Lipumba, Muulize yule mbunge msemaji mzuri wa kule kwa kina Bashe....

Sasa Subiri no. ya Lema; he has two alternative kuwa pamoja na halmashauri ili coming 2015 aweze kusema tumefanya haya pamoja! Au aendelee kuwa mwenyewe and wana-Arusha wa-m-kick out coming 2015.

That is the reality unfortunately i can't hide.
 
Analysis yako inge base kwenye cheap popularity at least hizo point zinge suffice otherwise, for the purpose of keeping things clear twende hivi, kama walivyosema wengine swala la kusomesha wanafunzi hata 1000 kwanza hiyo haiwezi kuwa ahadi kwa Mbunge bali ni wajibu wa kwake aidha yeye binafsi au kutumia rafiki zake hivyo binafsi nitampongeza kwa kutimiza wajibu wake kama alivyosema Mwalimu "it can be done play your part" so that's what exactly Lema trying to accord with (anatimiza wajibu wake) vile vile swala la kutoa elimu juu ya haki na demokrasi kwa wananchi huo ni wajibu



Jambo la pili ambalo pia halikuwa moja kati ya ahadi but was incidental to.... ni swala la Ambulance na Tractor; hili liko hivi waungwana the so called friends of Lema walimwezesha Lema kwa hiyo Ambulance ya Pili ila ile ya Kwanza pamoja na Tractor jaribu kumwuliza Lema ili awaambie ukweli na kama atabisha basi mwulizeni Mzee Ndesa Pesa this Mzee knows better than anyone else iliotoka Tractor pamoja na Ambulance ya Kwanza pamoja na ushauri wake kwa Lema juu ya ama utekelezaji au lah wa zile ahadi alizozitoa Lema na nitazingumzia hapa chini kwa ufupi japo zimeshawahi kuzungumziwa mara nyingi sana.


Moja ya ahadi kubwa na iliyokuwa ya matumaini sana kwa Lema ni Ujenzi wa aliyiita yeye Machinga Compex katika eneo la Stand akijaribu kushawishi wananchi kuwa Stand ingehama halafu ujenzi huo ambao alisema utaweza kuajiri zaidi ya vijana 15,000 Mkoani Arusha. Lakini kwa watu wenye kufikiri na kuzifahamu taratibu waliishia kujiuliza je hii ahadi ya Mbunge ameshafanya consultation na Afisa Mipango Miji ili kujua kama hilo litafaa au lah??? Wakajua tu hili laweza kuwa changa la macho. Na mpaka kesho kama wakaazi wa Arusha bado twalingojea na cha kusikitisha hatusikii likizungumziwa tena ama kwenye mikutano au kwenye magroup yake....... Bado tunasali il akumbuke

Ahadi nyingine ni uhamishwaji wa Hospitali ya Mt. Meru na eneo la Hospitali kupewa Mwekezaji hili nalo hatujajua mikakati yake au ndo ndoto za alinacha...... Bado tunasubiri manake ndo kwanza Mwaka wa Pili tunaamini labda mazungumzo yanaendelea baina ya Mwekezaji na Mhe. Mbunge wetu kijana tukitazamia mafanikio.

Swala lingine ambalo ni kero ni swala la barabara Mhe aliahidi mengi makubwa ila cha kushangaza na kustaajabisha kaamua kuwaruhusu wananchi kuuza nyanya barabarani watu wa Arusha mnalifahamu hili pale Soko kuu ile barabara ukitoka sheli ya mama Maeda maeneo ya Ottu na ule mtaa wa pili ilipo branch ya NMB ile barabara inayoelekea Stadium nayo inaelekea kufungwa na wafanyabiashara. Mbunge kaogopa kuwaambia wananchi ukweli its very awkward kama Mbunge huwezi kuwa Mkweli, Consistenc, huwezi kusimamia maneno yako, better be called any other name.

Serikali yetu imeshindwa kutofautisha kati ya Siasa na mambo meninge ya maendeleo kila kitu kwao ni siasa sasa na sisi wanajamvi tunakoelekea tunashindwa kutofautisha kati ya ahadi na wajibu wa viongozi wetu. Mwambieni Lema ukweli manake hayo yote mliyoitaa ahadi ambazo kwangu ni wajibu Wabunge wenzie wanafanya tena bila kuhitaji kuandikwa katika magezeti ama kwenye mitandao ya kijamii manake wanatambu kuwa wafacho ni wajibu wao si tu kama Mbunge bali kama Mtanzania mpenda maendeleo na katika hili Mwalimu alishasema "ninyi mliopata bahati ya kupata elimu mna wajibu wa kurudi kwenu ili elimu yenu inufaishe wengine ila msipofanya hivyo mtakuwa wasaliti"

Hata sisi tunampenda huyo Mbunge ila amepotoka kwa kutafuta jina badala ya kutimiza yampasayo, mshaurini barabara na akubali kujirudi sisi ugomvi wao na huyo Meya hautuhusu tunahitaji Arusha iwe mahala salama na pazuri kwetu na vizazi vyetu.... Tunatambua anajenga kasri Njiro anastahili pongezi ila hayo ni yake binafsi maendeleo kama hayo ndiyo tunayohitaji nasi wananchi wake...........

Wishing you Luck Godbless Lema

Mkuu KUKUTIA,
Heshima kwako kwa good analysis!
 
Imnyagi,
Sina haja ya kujaza server ya JF kwa kurudia rudia ahadi za Lema ambazo zipo kwenye thread nyingi sana hapa.

Nieleze, kiuchumi lema amefanya nini? Uchumi wa Arusha sasa upoje?
Kisiasa..siasa za Arusha zipoje? Ameshindwa hata kuwamanage madiwani wake na kufanya nao kazi pamoja. Utulivu upo?
Kijamii..social responsibility yake iko poor kabisa. Hiyo kusomesha watoto everybody can do. Hospital za Arusha zina hali gani? Ushafika hapo kalolen? Mount Meru je? Shule za Arusha zina hali gan? Maisha ya wakaz wa Arusha yapoje?

Lema wetu sote,wewe wa kwao,endelea kufanya kazi
Hata hao kina Kamata wakitangaza hivyo walivyovifanya sisi hatutawapinga
 
Ni kweli Arusha siyo salama tena kwa mafisadi kuja kulia hela za walipa kodi hapa siyo mahala pake na ndiyo maana hata JK.anachagua njia za kupita anapokuja Arusha ikiwemo uwanja wa ndege anachagua atulie wapi maana hana amani ya kukatisha mji huu CDM.imewaelimisha watu na sasa wanajua haki zao hawataki upuuzi tena.

nani kakulisha hizo ARV za kisiasa?eti Arusha si salama tena kwa mafisadi eti hawawezi kuja kutafuna kodi zetu kwenye hayo mahotel kwa sababu ya maandamano!!! Tumekuelwa THE GREAT THINKER!
 
Analysis yako inge base kwenye cheap popularity at least hizo point zinge suffice otherwise, for the purpose of keeping things clear twende hivi, kama walivyosema wengine swala la kusomesha wanafunzi hata 1000 kwanza hiyo haiwezi kuwa ahadi kwa Mbunge bali ni wajibu wa kwake aidha yeye binafsi au kutumia rafiki zake hivyo binafsi nitampongeza kwa kutimiza wajibu wake kama alivyosema Mwalimu "it can be done play your part" so that's what exactly Lema trying to accord with (anatimiza wajibu wake) vile vile swala la kutoa elimu juu ya haki na demokrasi kwa wananchi huo ni wajibu



Jambo la pili ambalo pia halikuwa moja kati ya ahadi but was incidental to.... ni swala la Ambulance na Tractor; hili liko hivi waungwana the so called friends of Lema walimwezesha Lema kwa hiyo Ambulance ya Pili ila ile ya Kwanza pamoja na Tractor jaribu kumwuliza Lema ili awaambie ukweli na kama atabisha basi mwulizeni Mzee Ndesa Pesa this Mzee knows better than anyone else iliotoka Tractor pamoja na Ambulance ya Kwanza pamoja na ushauri wake kwa Lema juu ya ama utekelezaji au lah wa zile ahadi alizozitoa Lema na nitazingumzia hapa chini kwa ufupi japo zimeshawahi kuzungumziwa mara nyingi sana.


Moja ya ahadi kubwa na iliyokuwa ya matumaini sana kwa Lema ni Ujenzi wa aliyiita yeye Machinga Compex katika eneo la Stand akijaribu kushawishi wananchi kuwa Stand ingehama halafu ujenzi huo ambao alisema utaweza kuajiri zaidi ya vijana 15,000 Mkoani Arusha. Lakini kwa watu wenye kufikiri na kuzifahamu taratibu waliishia kujiuliza je hii ahadi ya Mbunge ameshafanya consultation na Afisa Mipango Miji ili kujua kama hilo litafaa au lah??? Wakajua tu hili laweza kuwa changa la macho. Na mpaka kesho kama wakaazi wa Arusha bado twalingojea na cha kusikitisha hatusikii likizungumziwa tena ama kwenye mikutano au kwenye magroup yake....... Bado tunasali il akumbuke

Ahadi nyingine ni uhamishwaji wa Hospitali ya Mt. Meru na eneo la Hospitali kupewa Mwekezaji hili nalo hatujajua mikakati yake au ndo ndoto za alinacha...... Bado tunasubiri manake ndo kwanza Mwaka wa Pili tunaamini labda mazungumzo yanaendelea baina ya Mwekezaji na Mhe. Mbunge wetu kijana tukitazamia mafanikio.

Swala lingine ambalo ni kero ni swala la barabara Mhe aliahidi mengi makubwa ila cha kushangaza na kustaajabisha kaamua kuwaruhusu wananchi kuuza nyanya barabarani watu wa Arusha mnalifahamu hili pale Soko kuu ile barabara ukitoka sheli ya mama Maeda maeneo ya Ottu na ule mtaa wa pili ilipo branch ya NMB ile barabara inayoelekea Stadium nayo inaelekea kufungwa na wafanyabiashara. Mbunge kaogopa kuwaambia wananchi ukweli its very awkward kama Mbunge huwezi kuwa Mkweli, Consistenc, huwezi kusimamia maneno yako, better be called any other name.

Serikali yetu imeshindwa kutofautisha kati ya Siasa na mambo meninge ya maendeleo kila kitu kwao ni siasa sasa na sisi wanajamvi tunakoelekea tunashindwa kutofautisha kati ya ahadi na wajibu wa viongozi wetu. Mwambieni Lema ukweli manake hayo yote mliyoitaa ahadi ambazo kwangu ni wajibu Wabunge wenzie wanafanya tena bila kuhitaji kuandikwa katika magezeti ama kwenye mitandao ya kijamii manake wanatambu kuwa wafacho ni wajibu wao si tu kama Mbunge bali kama Mtanzania mpenda maendeleo na katika hili Mwalimu alishasema "ninyi mliopata bahati ya kupata elimu mna wajibu wa kurudi kwenu ili elimu yenu inufaishe wengine ila msipofanya hivyo mtakuwa wasaliti"

Hata sisi tunampenda huyo Mbunge ila amepotoka kwa kutafuta jina badala ya kutimiza yampasayo, mshaurini barabara na akubali kujirudi sisi ugomvi wao na huyo Meya hautuhusu tunahitaji Arusha iwe mahala salama na pazuri kwetu na vizazi vyetu.... Tunatambua anajenga kasri Njiro anastahili pongezi ila hayo ni yake binafsi maendeleo kama hayo ndiyo tunayohitaji nasi wananchi wake...........

Wishing you Luck Godbless Lema

Asante kwaushauri wako ila kwasasa ninacho weza kukushauri wewe kwanza acha kumbambikizia Lema ahadi ambazo sizake kwani kujenga barabara nikazi ya mbunge au alimashauri embu kabla hauja andika upupu wako uliza kwanza usijifanye mwelewa kumbe buree kabisaaa mnapenda kufuatilia maisha ya LEMA sana acheni hizo
 
Back
Top Bottom