Tathmini ndogo tu ya ahadi zilizotimizwa tayari na CHADEMA Arusha kupitia kwa G. Lema

Rejao acha wivu wa kisiasa, kama mtu anatekeleza majukumu yake basi ni haki yake kusifiwa. Kuna jamaa yangu yupo Arusha alikuwa anamponda sana aliyekuwa mbunge wa CCM Felix lakini alikuja kuona Lema anaweza kuwa suluhisho kwa matatizo ya wana Arusha baada ya kumsikia na kusikiliza baadhi ya maoni ya wanaArusha.

Hapo ni bla bla tu, tulishafanyia analysis ya kila kitu. Kati ya hayo uliyoyataja, kipi kilikuwa kwenye kampeni zake? Alitoa ahadi nyingi sana na hamna hata moja ameitekeleza. Umeleta hapa vitu ambavyo ni irrelevant, ambavyo hata mtu wa kawaida asiye mbunge anaweza kuvifanya.

Kusomesha hao wanafunzi 400 tulifanya calculations ni around 16m kwa mwaka, hela ambayo ni ndogo sana kwa mbunge plus wafadhili wanaomsaidia.

Jipangeni tena mje na hoja za kumtetea na wala si habari za kutetea.

Halafu huyu mbunge mwambieni pia aache kujitangaza sana kupitia hapa JF na kwenye media nyingine. Kuna wabunge wanafanya mambo mazito na makubwa ya kimaendeleo lakini hawapigi domo.
 
Wewe kweli ni kilaza na anti-CDM
Hapo ni bla bla tu, tulishafanyia analysis ya kila kitu. Kati ya hayo uliyoyataja, kipi kilikuwa kwenye kampeni zake? Alitoa ahadi nyingi sana na hamna hata moja ameitekeleza. Umeleta hapa vitu ambavyo ni irrelevant, ambavyo hata mtu wa kawaida asiye mbunge anaweza kuvifanya.

Kusomesha hao wanafunzi 400 tulifanya calculations ni around 16m kwa mwaka, hela ambayo ni ndogo sana kwa mbunge plus wafadhili wanaomsaidia.

Jipangeni tena mje na hoja za kumtetea na wala si habari za kutetea.

Halafu huyu mbunge mwambieni pia aache kujitangaza sana kupitia hapa JF na kwenye media nyingine. Kuna wabunge wanafanya mambo mazito na makubwa ya kimaendeleo lakini hawapigi domo.
 
Rejao acha wivu wa kisiasa, kama mtu anatekeleza majukumu yake basi ni haki yake kusifiwa. Kuna jamaa yangu yupo Arusha alikuwa anamponda sana aliyekuwa mbunge wa CCM Felix lakini alikuja kuona Lema anaweza kuwa suluhisho kwa matatizo ya wana Arusha baada ya kumsikia na kusikiliza baadhi ya maoni ya wanaArusha.
Siwezi kuwa na wivu wa kisiasa kwa kijana mdogo kama Lema. Nimemfaham huyu jamaa kabla hata hajajiunga TLP. Ni mtu anayenunulika kirahisi sana. Nafikiri mnakumbuka kilichotokea 2005
 
Imnyagi,
Sina haja ya kujaza server ya JF kwa kurudia rudia ahadi za Lema ambazo zipo kwenye thread nyingi sana hapa.

Nieleze, kiuchumi lema amefanya nini? Uchumi wa Arusha sasa upoje?
Kisiasa..siasa za Arusha zipoje? Ameshindwa hata kuwamanage madiwani wake na kufanya nao kazi pamoja. Utulivu upo?
Kijamii..social responsibility yake iko poor kabisa. Hiyo kusomesha watoto everybody can do. Hospital za Arusha zina hali gani? Ushafika hapo kalolen? Mount Meru je? Shule za Arusha zina hali gan? Maisha ya wakaz wa Arusha yapoje?


Kama unadhani hapa umemponda Mh Lema basi ulichofanya ni kumponda kikwete na serikali yake! Lema hakusanyi kodi, hana absolute authority kwenye suala lolote in the running of Arusha.

Uchumi wa Arusha haupo independent kiasi cha kusema mbunge wake anaweza kuubadilisha atakavyo, maamuzi ya hovyo na kipumbavu yanayofanywa Dar es Salaam na Dodoma yanaathiri Arusha kama sehemu nyingine za nchi hii.
It's typical ccm, hamuwezi hata rational reasoning!
 
Hapo ni bla bla tu, tulishafanyia analysis ya kila kitu. Kati ya hayo uliyoyataja, kipi kilikuwa kwenye kampeni zake? Alitoa ahadi nyingi sana na hamna hata moja ameitekeleza. Umeleta hapa vitu ambavyo ni irrelevant, ambavyo hata mtu wa kawaida asiye mbunge anaweza kuvifanya.

Kusomesha hao wanafunzi 400 tulifanya calculations ni around 16m kwa mwaka, hela ambayo ni ndogo sana kwa mbunge plus wafadhili wanaomsaidia.

Jipangeni tena mje na hoja za kumtetea na wala si habari za kutetea.

Halafu huyu mbunge mwambieni pia aache kujitangaza sana kupitia hapa JF na kwenye media nyingine. Kuna wabunge wanafanya mambo mazito na makubwa ya kimaendeleo lakini hawapigi domo.

wataje wabunge ambao wanao toa misaada kwa wananchi?si hao mafisadi wanatuibia 99% wanaturudishia 5% kisha wasema ni misaada kwa wananchi! Muda wa kudanganywa usha pita,mtanzania wa nyerere,mwinyi,mkapa,sio wa kikwete!
 
Kutumia au kutokutumia fedha zako siyo hoja ya msingi, hoja ni kusomesha hao watoto hata kama ni shule za Kata ndizo serikali yetu inayojivunia kupitia miaka 50 ya uhuru.

Ambulance hizo mbili ndizo zilizomu ubunge Deo Fulukunjombe. Jiulize wabunge wengine wamefanya nini licha ya kuwa na maelfu ya wadhamini?
Nimepitia hii yote sijaona sehemu yoyote Lema, katumia pesa yake kama mbunge..

Hizo Ambulance mbili umesema zimetolewa na wafadhili wake, ilo la kusomesha watoto yatima shule za kata, limetolea ufafanuzi na Rejao na Mchuzi wa Bata.

Lema alikataa bajaji halafu akachukua milioni 90 kununulia gari lake binafsi.

Posho na mikopo anayochukuwa bungeni unajua kazi yake? Anajenga jumba la kifahari maeneo ya Njiro, vipi kaishawambia?

Mbona ujaweka zile ahadi za Machinga Complex mbili.

Njoo na tathimini ingine hii umechemka hakuna kitu.
 
Heee, haya alishayaongea mwenyewe kwenye thread yake iliyododa hapa hapa JF: Angalia pongezi alizopewa Regia na za Lema;

Kuna siku mtoto ataona mfalme yuko uchi time is coming; kwa kweli Lema usijidanganye your performance is still poor.... watu hawali hotuba ndugu yangu.
 
Bora umesema. Watu ni wepesi sana kusahau ahadi za kimaendeleo alizoahidi wakat wa kampeni, wanashupalia vitu Lema anavyofanya ambavyo hata raia wa kawaida anaweza kuifanya.
Kwa mashabiki wa Lema, mnatakiwa mfanye analysis ya jiji la Arusha kabla na baada ya Lema kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Rejao!

Yaelekea umeanza ule utumwa wa mafisadi wachumia matumbo yao.

Nakuomba maana sasa inabidi tukuombe maana unaweza ukawa haujui upingayo, Ujuwe ktk serikali tawala,hakika hawajawahi kufanya ahadi zao walitoa ktk siku zao yote ya utawala wao.

Mara ngapi tumekuwa ktk wakati mgumu hapa A town pale Mount Meru hosptal kisa tunakosa gari la wagonjwa ingali tuna serikali iliyokuwepo madarakani takrbani 50years a go?
Ndg zetu wangapi waliopoteza maisha hapo hapo hosptalini kwa kukosa gari lenye uweza wa kuwakimbiza mpk pale KCMC kisa serikali tawala haina uweza wa kuweka gari kuukuu lililokuwa pale mafuta?

Unafika utawala unaambiwa gari lipo lakini bovu na kama una uweza peleka kwanza garage ama gari halina mafuta.

Leo Ambulance pale hosptali ni zaidi tatu zenye uwezo wa hata kwenda na mgonjwa mpaka Muhimbili bila ya kuchungulia kama kuna tatizo gani zaidi ya mafuta tu kuangalia kama imeisha.

Na we Rejao ujue pale ilipoondoka hiyo gari moja na bado kuna mbili zilizoakiba kwa hosptali kwa wagonjwa walioachwa. Rejao! Siyo hiyo tu aliyofanya huyu MB! Leo angalia mikakati tajwa hapo juu kedekede anayoifanya.

Ni wabunge wangapi wa mafisadi wamepita ktk miongo yote tuliyokuwepo hapa A town bila ya faida yeyote? Rejao! Badilika tafadhali.
Acha tabia ya kutumikishwa na mafisadi tafadhali.
 
namkubali g.lema na Mungu ambariki tena na tena, huku niliko mbunge wangu hata simjui na sijui kafanya nin, namjua dc tu maana anapenda kuhuzuria sherehe, CCM hamna kitu ni wapiga porojo tu
 
Kama unadhani hapa umemponda Mh Lema basi ulichofanya ni kumponda kikwete na serikali yake! Lema hakusanyi kodi, hana absolute authority kwenye suala lolote in the running of Arusha. Uchumi wa Arusha haupo independent kiasi cha kusema mbunge wake anaweza kuubadilisha atakavyo, maamuzi ya hovyo na kipumbavu yanayofanywa Dar es Salaam na Dodoma yanaathiri Arusha kama sehemu nyingine za nchi hii.
It's typical ccm, hamuwezi hata rational reasoning!
Kikwete ndiye anatakiwa aje kuidentfy mahitaji ya wakazi wa Arusha? Halmashauri kazi zake ni nini? Nani masimamizi na mfuatiliaji wa masuala yote ya jimbo? Kazi ya mbunge, Meya na madiwani ni ipi?
 
LiverpoolFC,
Ushauri wangu kwenu wanachadema, kinachowaangusha kwa sasa ni kuwa optmistic. Mnakuwa kama mmelishwa limbwata na Lema. Hamuoni anavyoliharibu jiji la Arusha.

Fuatilia mapato ya Arusha yanavyoshuka kwa kasi. Arusha siyo sehemu salama tena hata kwa vacation. Sasa hivi tunaopt for Nairobi instead of Arusha. Vurugu zake zinaipeleka Arusha pabaya.
 
kati ya hao unaodai wanafanya mengi, ni yupi asiyekuwa na halmashauri kama Lema?

usikurupukie mambo mkuu!
 
Kikwete ndiye anatakiwa aje kuidentfy mahitaji ya wakazi wa Arusha? Halmashauri kazi zake ni nini? Nani masimamizi na mfuatiliaji wa masuala yote ya jimbo? Kazi ya mbunge, Meya na madiwani ni ipi?

Anachofanya mbunge (ikiwemo kununua ambulance, kupata kiwanja kwa ajili ya hospital, kusomesha watoto n.k AKITUMIA RESOURCES ZAKE MWENYEWE) ndicho hicho ulichoambiwa japo wewe unadhani ni irrelevant (and coming from a ccm sympathizer it isn't strange really kwa kuwa anything pro poor kwenu ni irrelevant), lakini wale wanao control government resources ndio hao magamba wenzio ambao "utendaji" wao ni pathetic.

And the key fact is: wamewekwa na ccm.
 
LiverpoolFC,
Ushauri wangu kwenu wanachadema, kinachowaangusha kwa sasa ni kuwa optmistic. Mnakuwa kama mmelishwa limbwata na Lema. Hamuoni anavyoliharibu jiji la Arusha. Fuatilia mapato ya Arusha yanavyoshuka kwa kasi. Arusha siyo sehemu salama tena hata kwa vacation. Sasa hivi tunaopt for Nairobi instead of Arusha. Vurugu zake zinaipeleka Arusha pabaya.


Kama kweli unaamini hizo propaganda zenu wenyewe basi utaamini kila kitu unachooambiwa ambacho kimekaa kila magamba magamba. Na kikwete akikwambia baba yako ni punda utaamini pia.
Nairobi ni salama kuliko Arusha???? I bet hujui hata Nairobi ilipo.

Haya ni mji gani ambao mapato yake yanapanda japo pole pole chini ya serikali incompetent ya kikwete?
 
Hivi kusomesha watoto yatima kwenye shule za kata tena kwa kusaidiwa na na wafadhili unaweza kujisifia kweli? Mbona Kafulila anasomesha watoto 300, Vick Kamata anasomesha watoto 400.

Shule za kata kila mtu anaweza kusomesha ada ya mtoto mmoja ni 1500 x 400=600.000 tu

MkuU Samahan umesema ada ni 1500 au nimekusoma tofauti mkuu,DAH KWEL UKIMCHUKIA M2 SI MCHEZO
 
Hivi kusomesha watoto yatima kwenye shule za kata tena kwa kusaidiwa na na wafadhili unaweza kujisifia kweli? Mbona Kafulila anasomesha watoto 300, Vick Kamata anasomesha watoto 400.

Shule za kata kila mtu anaweza kusomesha ada ya mtoto mmoja ni 1500 x 400=600.000 tu

Hapa nilikuwa najaribu kuongelea mambo baadhi tu ya mambo ambayo tayari yamefanyka ndani ya kipindi cha mwaka akiwa anafanya yeye na wana CDM. Wengine bila ushirikiano na serikali.

Kama umeona kusomesha watoto shule za sekondari za kata ni rahisi nina swali dogo je kuna wabunge wangapi wa chama tawala na tena kuna mawaziri wameshindwa hata kusomesha watoto 50 hizo shule za kata? Na ilhali wanaungwa mkono na serikali yote na halmashauri pia.

Nashukuru kwa hao uliowatolea mifano swali je hao wanapingwa na kunyanyasika na vyombo vya dola kama G. Lema? Nakukumbusha tu kuwa mtu wa miaka 35 akipigana na mtoto wa miaka 14 wakatoka sare mtoto ataonekana ameshinda hiyo Game hivyo Njoo hapa jamvini na hoja kama Great Thinkers please!
 
Bora umesema. Watu ni wepesi sana kusahau ahadi za kimaendeleo alizoahidi wakat wa kampeni, wanashupalia vitu Lema anavyofanya ambavyo hata raia wa kawaida anaweza kuifanya.
Kwa mashabiki wa Lema, mnatakiwa mfanye analysis ya jiji la Arusha kabla na baada ya Lema kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Nimekaa na kufanya kazi Arusha kwa zaidi ya miaka 14 nanaufahamu mji ulikuwaje na maendeleo yake toka wakati watu wakiwa na utajiri wa madini ya Tanzanite na makampuni ya utalii ya wazawa na walikuwa na hela na kuwasaidia ndugu zao lakini leo kwa sehemu kubwa mali zote hizo zimebaki kwa wageni wengine wamebaki kuwa watumwa wa wawekezaji!

Nisingependa sana kubishana na wewe labda na nyie mlete tathimini yenu na hali halisi ya mazingira ya kazi halafu tujadili kwa hoja na siyo ushabiki.
 
Anachofanya mbunge (ikiwemo kununua ambulance, kupata kiwanja kwa ajili ya hospital, kusomesha watoto n.k AKITUMIA RESOURCES ZAKE MWENYEWE) ndicho hicho ulichoambiwa japo wewe unadhani ni irrelevant (and coming from a ccm sympathizer it isn't strange really kwa kuwa anything pro poor kwenu ni irrelevant), lakini wale wanao control government resources ndio hao magamba wenzio ambao "utendaji" wao ni pathetic.

And the key fact is: wamewekwa na ccm.

Mkuu Mtoboasiri,
Lema ajanunua Ambulance kama unavyosema kasaidiwa na wafadhili wake pamoja na ilo la kusomesha watoto..

Kusomesha watoto yatima shule za kata wala sio kitu kikubwa cha kujisifia..

Zitto Kabwe, anasomesha Kufulila, anasomesha Zungu, anasomesha, Vick Kamata, anasomesha, Aboud, Anasomesha.. wapo wengi.

Mohamed Dewji anasomesha vijiji na mshahara wake na posho zote anapeleka kwenye mfuko wake wa maendeleo jimboni kwake.

Lema, anasema posho anawekewa mpaka mke wake kashangaa baada ya kushangaa hizo pesa walizipeleka wapi?

Hakuna kitu zaidi ya kusifiana tu.
 
Hivi kusomesha watoto yatima kwenye shule za kata tena kwa kusaidiwa na na wafadhili unaweza kujisifia kweli? Mbona Kafulila anasomesha watoto 300, Vick Kamata anasomesha watoto 400.

Shule za kata kila mtu anaweza kusomesha ada ya mtoto mmoja ni 1500 x 400=600.000 tu
Jama tujifunze kukubali vitu vizuri hata kama vidogo, manji aliwalipia watazamaji mwanza kwenye mechi ya yanga, pesa ambayo angeweza kusomeshea watoto wengi tu, kwa rema kuangalia vipaombele vya taifa hapa nampongeza ninyi magamba mnaweza kuona ni kidogo sana but kwa mtu wa hali ya chini anakubali sana, ndo maana hata jk hapendwi na watu wa chini sababu ameshindwa kumaliZa matatizo madogo sana kama ya maji na umeme na wala haonyeshi juhudi za kuyamaliza.
 
Nimepitia hii yote sijaona sehemu yoyote Lema, katumia pesa yake kama mbunge..

Hizo Ambulance mbili umesema zimetolewa na wafadhili wake, ilo la kusomesha watoto yatima shule za kata, limetolea ufafanuzi na Rejao na Mchuzi wa Bata.

Lema alikataa bajaji halafu akachukua milioni 90 kununulia gari lake binafsi.

Posho na mikopo anayochukuwa bungeni unajua kazi yake? Anajenga jumba la kifahari maeneo ya Njiro, vipi kaishawambia?

Mbona ujaweka zile ahadi za Machinga Complex mbili.

Njoo na tathimini ingine hii umechemka hakuna kitu.

Sawa mbona kikwete anaendesha nchi kwa misaada wakati nchi yake inarasimali ya kujiendesha yenyewe kikwete kila kukicha analeta wafadhili kufadhili nchi siyo kila jambo waweza kuliponda nimeshakuambia unapenda kufuatilia ahadi za Lema za kikwete ufuatili embu tuambie kikwete mbakas sasa kafanya nini bila misaada????
 
Back
Top Bottom