Nauza TATA min buss bovu, linawafaa zaidi wanaofanya biashara ya kuuza spare za magari, maana lilipata ajali. Pia hata kwa anaweza kulinyoosha linaweza kumfaa pia maana injini ipo safi sana na ina nguvu na puling nzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.