Taswira ya taifa letu kwa sasa...! Wapi tunakwenda?

Mhafidhina

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
549
22
Hivi kwa hali hii ni wapi tunaelekea. Tofauti ya Matajiri na masikini, walionacho na wasionacho...!

Hii ndio taswira ya maisha ya sasa...! So sad.


watoto 1.jpg



Angalia tofauti iloyopo...!



Watoto 2.JPG
 
bahati mbaya bado wananchi wengi wanaona kwamba ufukara ni majaliwa ya Mola, na ndo maana hata ukiwahubiria ukombozi bado very few wanakuelewa~! There is a need ku-mobilize wananchi na kuwa asure kwamba umaskini uliopo miongoni mwetu unaweza kuondolewa kwa kufanya kazi kwa bidii kwa kujituma zaidi, na kuchagua viongozi waadilifu!
 
Dah, hii picha inaweza mfanya mtu akaingia msituni hivi hivi...
 
bahati mbaya bado wananchi wengi wanaona kwamba ufukara ni majaliwa ya Mola, na ndo maana hata ukiwahubiria ukombozi bado very few wanakuelewa~! There is a need ku-mobilize wananchi na kuwa asure kwamba umaskini uliopo miongoni mwetu unaweza kuondolewa kwa kufanya kazi kwa bidii kwa kujituma zaidi, na kuchagua viongozi waadilifu!

Hapo kwenye blue umenena, mengine yote ni brabra.
 
Back
Top Bottom