golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,271
- 688
Inamaana mtakubari awachakachue tena.....Teh teh teh Tanzania bwana,awamu ijayo nnaona jamaa atakuwa amekimeza tumboni kabisa
Upo makini sana mkuu, ni kweli awamu ya JK inafanana sana na Ruksa hali kadhalika Kifimbo na Mzee wa Uwazi n ukweli.Nikiangalia katuni hii ninaona kana kwamba kiatu namba moja na kiatu namba tatu vimewekewa fremu, na vilevle kuna mngáo juu katika rangi ya maji ya bahari, ina nipa utata kidogo, je ina maana namba moja na namba tatu kuna kurandana ! na namba mbili na namba nne kuna kufanana ! au mchoraji aliamua tu kufanya namba moja itofautiane na namba mbili, na kwa utaratibu huo huo iwe kwa namba tau na namba nne ? mhn, nadhani mchoraji ana kusudia kutueleza mengi zaidi katika mchoro huu kuliko wengi wetu tunavyo fikiria, Big Up rafiki kwangu mimi message nimeipata kiuhakika, thank you !!
Inamaana mtakubari awachakachue tena.....
Ila nimeipenda sana hii freedom ya Tz. Nchi nyinge haya hugusi. Thanks kwa mleta kikatuni. very good.