Tarime wamkataa DC

Naipenda sana Tarime ni watu wasiopenda unafiki wakiona kitu hakifai huwa wanasema kwa nguvu za o zote na wakiwalazimisha watatafuta njia mbadala ya kumtoa au mwisho wa siku yeye mwenyewe itabidi aondoke hawapendi ujinga na hawana mzaha wale
 
Barubaru,
Ni kweli utaratibu huo ulioainisha ndivyo ulivyo kwenye makaratasi (nadharia); lakini unajua uhalisia wake (kivitendo)?
 
Usilolijua ni kama usiku wa kiza.

Hata siku moja DC hawezi kufanya kazi na Madiwani kwa mujibu wa taratibu na kaanua kza Tamisemi huko Tanzania.

Madiwani wanafanya kazi na Mkurugenzi mtendaji wa wilaya (DED) na hata katika baraza la madiwani , DED ndio anakuwa katibu wao. Kwani DED ndio anayetekeleza yale yanayokubaliwa na baraza hilo na kutolea taarifa mambo mbalimbali yanayohusu wilaya ile kupitia kwa wataalamu wake.

Mkuu wa wilaya yupo katika category nyingine kabisa.

Nitakusaidia kidog kujua anaofanya nao kazi DC ni DAS, DIO/DSO, Mshauri wa mgambo wa wilaya, OCD, Mkuu wa gereza wa wilaya, Mkuu wa kikosi chochote cha Jeshi (CO) katika wilaya hiyo. Au kwa kifupi wale wote wanaingia katika kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya husika.

DED na wataalamu wake ambao ni wakuu wa idara mbalimbali katika halmashauri kama ujenzi, elimu, afya, kilimo n.k hawa ndio wanafanya kazi na madiwani.

Nilifanya kazi siku nyingi sana TZ lakin naona kabisa hizo za madiwani na DC ni sawa na mbingu na ardhi.

Nafikiri habari hii haina usahihi kabisa. Mwandishi hajui alinenalo.


Barubaru,
Ni kweli utaratibu huo ulioainisha ndivyo ulivyo kwenye makaratasi (nadharia); lakini unajua uhalisia wake (kivitendo)?
 
Barubaru.
KAKA utaratibu wa kiutendaji hauzuii wao madiwani kutoa mitazamo yao.
Na usije ukadhani kwamba ni habari ya kutungwa huo ndio ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Na hii inathibitisha kuwa cheo cha ukuu wa wilaya ni useless

Yes it is useless, huwezi amini kuna wilaya moja haikuwa na DC, since alipokwenda kwenye kura za maoni hiyo 2010 na kushinda ubunge...na mambo yalikwenda poa tu, and hio wilaya haukupata "hati chafu". kama wilaya zenya DCs.
 
Kwasasa kazi kubwa ya DC imebaki kuwa ni "protocal" hasa katika matukio ya ziara za Rais na Mwenge zinapokuwa wilayani kwake,...au walipata kazi lilipotokea tukio la mauwaji ya Albino..
Usilolijua ni kama usiku wa kiza.

Hata siku moja DC hawezi kufanya kazi na Madiwani kwa mujibu wa taratibu na kaanua kza Tamisemi huko Tanzania.

Madiwani wanafanya kazi na Mkurugenzi mtendaji wa wilaya (DED) na hata katika baraza la madiwani , DED ndio anakuwa katibu wao. Kwani DED ndio anayetekeleza yale yanayokubaliwa na baraza hilo na kutolea taarifa mambo mbalimbali yanayohusu wilaya ile kupitia kwa wataalamu wake.

Mkuu wa wilaya yupo katika category nyingine kabisa.

Nitakusaidia kidog kujua anaofanya nao kazi DC ni DAS, DIO/DSO, Mshauri wa mgambo wa wilaya, OCD, Mkuu wa gereza wa wilaya, Mkuu wa kikosi chochote cha Jeshi (CO) katika wilaya hiyo. Au kwa kifupi wale wote wanaingia katika kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya husika.

DED na wataalamu wake ambao ni wakuu wa idara mbalimbali katika halmashauri kama ujenzi, elimu, afya, kilimo n.k hawa ndio wanafanya kazi na madiwani.

Nilifanya kazi siku nyingi sana TZ lakin naona kabisa hizo za madiwani na DC ni sawa na mbingu na ardhi.

Nafikiri habari hii haina usahihi kabisa. Mwandishi hajui alinenalo.

 
kweli nchi yetu naona ukombozi uko karibu sana .Tarime oyeeeeeeeeee! huku ndiko kukomaa nakuona nini tufanye sio kuchanguliwa bongo lala na sisi tunakubaliana naomba na wilaya zingine ziinge fukuza hao vichwa maji. maendeleeo mbeleee!

Hawa watani zangu nawapenda sana. Wanakuwa na msimamo, wanachosema ndicho wanamaanisha!!
 
Back
Top Bottom