Tarime na Rorya kuongozwa kijeshi

Status
Not open for further replies.

Edson

JF-Expert Member
Mar 7, 2009
9,845
5,064
Habari za leo ndugu zanguni,

Leo asubuhi nimesoma gazeti la mwananchi na kukuta kichwa cha habari
''Wilaya za Tarime na Rorya hatarini kupelekewa utawala wa kijeshi''
ndugu wana jf hii inaashiria nini? huu mkoa unaongozwa na nani? maana inaonekana mkuu wa mkoa hana mkakati wowote wa kumaliza ugomvi baina ya wilya hizi mbili, na je kama serikali ikiunda mkoa maalumu huko utakaongozwa na jenelari wa jeshi(kwa mujibu wa PM) hii inamaanisha nini kwa serikali ya jk?
mapigano haya hayajaanza leo ni ya mda mrefu, kingine napenda kujua kama mkuu wa kaya(jk) amewahi kufanya ziara wilaya hizi mbili na alisema nini kuhusu mapigano haya. mwenye data naomba amwage hapa
ni hayo tu
kazi njema kwenu nyote
 
Habari za leo ndugu zanguni,

Leo asubuhi nimesoma gazeti la mwananchi na kukuta kichwa cha habari
''Wilaya za Tarime na Rorya hatarini kupelekewa utawala wa kijeshi''
ndugu wana jf hii inaashiria nini? huu mkoa unaongozwa na nani? maana inaonekana mkuu wa mkoa hana mkakati wowote wa kumaliza ugomvi baina ya wilya hizi mbili, na je kama serikali ikiunda mkoa maalumu huko utakaongozwa na jenelari wa jeshi(kwa mujibu wa PM) hii inamaanisha nini kwa serikali ya jk?
mapigano haya hayajaanza leo ni ya mda mrefu, kingine napenda kujua kama mkuu wa kaya(jk) amewahi kufanya ziara wilaya hizi mbili na alisema nini kuhusu mapigano haya. mwenye data naomba amwage hapa
ni hayo tu
kazi njema kwenu nyote

nimeisoma hiyo mkuu..ni maneno ya Pinda kuwa serikali itaanzisha mkoa maalum wa kijeshi ili kukomesha mapigano.Nachelewaga sana kumuelewa Waziri Mkuu Pionda na kauli zake.Maana anachozungumza ni impossible,hata uweke utawala wa kijeshi hiyo sio suluhu ya mapigano huko tarime..
 
of coz hii ni hatari,lakini kama diplomacy imeshindwa ni bora jeshi liende kuwa chini ya jeshi ni kutawaliwa kwa kufuata amri tena kwa nidham ya hali ya juu.Jeshini ukiukwaji mdogo tu wataratibu unafuatiwa na adhabu kubwa ya papo kwa papo sasa kama ubinadam umewashinda ni bora tuapply unyama kama watakavyo as mpaka waziri mkuu anaenda kule zilikuwa zimeshaokotwa maiti zaidi ya 30,sasa wakiendelea kuwachekea wasubiri makubwa zaidi
 
of coz hii ni hatari,lakini kama diplomacy imeshindwa ni bora jeshi liende kuwa chini ya jeshi ni kutawaliwa kwa kufuata amri tena kwa nidham ya hali ya juu.Jeshini ukiukwaji mdogo tu wataratibu unafuatiwa na adhabu kubwa ya papo kwa papo sasa kama ubinadam umewashinda ni bora tuapply unyama kama watakavyo as mpaka waziri mkuu anaenda kule zilikuwa zimeshaokotwa maiti zaidi ya 30,sasa wakiendelea kuwachekea wasubiri makubwa zaidi
Kwa mtu asiyeelewa ataona maneno ya pinda ni ya kukurupuka.lakini ukweli mapigano ya tarime utatuzi wake ni mgumu. ukorofi wote uko kwa wakurya.Watu hawa ni wezi wa waliokubuu wa ng'ombe.Maeneo ya wajaluo na maeneo ya majita kwa kawaida ni ya amani.lakini mara wakurya wanapohamia maeneo hayo ujue vita vitazuka.Lakini jambo la kushangaza kuna wanazuoni wengi wakurya na baadhi ya viongozi waliofikia ngazi za juu serikalini lakini hakuna hata siku moja wakaka na kujadili hali hii na kutolea tamko.Aidha hawajaenda tarime kuhubiri amani.kinachotakiwa kwa sasa ni ngumi ya chuma kutawala wilaya hiyo kwa sababu siasa imeshindikana tarime
 
Habari za leo ndugu zanguni,

Leo asubuhi nimesoma gazeti la mwananchi na kukuta kichwa cha habari
''Wilaya za Tarime na Rorya hatarini kupelekewa utawala wa kijeshi''
ndugu wana jf hii inaashiria nini? huu mkoa unaongozwa na nani? maana inaonekana mkuu wa mkoa hana mkakati wowote wa kumaliza ugomvi baina ya wilya hizi mbili, na je kama serikali ikiunda mkoa maalumu huko utakaongozwa na jenelari wa jeshi(kwa mujibu wa PM) hii inamaanisha nini kwa serikali ya jk?
mapigano haya hayajaanza leo ni ya mda mrefu, kingine napenda kujua kama mkuu wa kaya(jk) amewahi kufanya ziara wilaya hizi mbili na alisema nini kuhusu mapigano haya. mwenye data naomba amwage hapa
ni hayo tu
kazi njema kwenu nyote

Poor governance practices, that's all. Never on earth has militarism resolved similar governance problems to reinforce and promote democracy. Shame upon Pinda's face. Shame upon CCM top leadership. Shame, shame, shame... shame!!
 
Msishangae kwani tanzania yote wanaume wapo Tarime,,,hao wa sehemu nyingine sio wanaume,,hivyo rorya ilikuwa tarime ikajitenga tatizo linalosumbua ni mipaka baina ya wanaume wa kikurya na wanaume wa kijaruo,,,,
 
Kama ntwala "republic" lazima musalimu amri under occupation. We shall not rest until transformed ntwala under occupation is transformed!
 
Aaache kwenda Japan eti aibuke Tarime au Rorya?? Huenda wagundue kama ile ya babu wa Loliondo ndo wamuone huko!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom