Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,845
- 5,064
Habari za leo ndugu zanguni,
Leo asubuhi nimesoma gazeti la mwananchi na kukuta kichwa cha habari
''Wilaya za Tarime na Rorya hatarini kupelekewa utawala wa kijeshi''
ndugu wana jf hii inaashiria nini? huu mkoa unaongozwa na nani? maana inaonekana mkuu wa mkoa hana mkakati wowote wa kumaliza ugomvi baina ya wilya hizi mbili, na je kama serikali ikiunda mkoa maalumu huko utakaongozwa na jenelari wa jeshi(kwa mujibu wa PM) hii inamaanisha nini kwa serikali ya jk?
mapigano haya hayajaanza leo ni ya mda mrefu, kingine napenda kujua kama mkuu wa kaya(jk) amewahi kufanya ziara wilaya hizi mbili na alisema nini kuhusu mapigano haya. mwenye data naomba amwage hapa
ni hayo tu
kazi njema kwenu nyote
Leo asubuhi nimesoma gazeti la mwananchi na kukuta kichwa cha habari
''Wilaya za Tarime na Rorya hatarini kupelekewa utawala wa kijeshi''
ndugu wana jf hii inaashiria nini? huu mkoa unaongozwa na nani? maana inaonekana mkuu wa mkoa hana mkakati wowote wa kumaliza ugomvi baina ya wilya hizi mbili, na je kama serikali ikiunda mkoa maalumu huko utakaongozwa na jenelari wa jeshi(kwa mujibu wa PM) hii inamaanisha nini kwa serikali ya jk?
mapigano haya hayajaanza leo ni ya mda mrefu, kingine napenda kujua kama mkuu wa kaya(jk) amewahi kufanya ziara wilaya hizi mbili na alisema nini kuhusu mapigano haya. mwenye data naomba amwage hapa
ni hayo tu
kazi njema kwenu nyote