Tarehe zimepita lakini bado jamani mwe!


duuuuhhh,
ha ha haaaa...kaka leo umekuja na misemo mipya mipya kwangu...
Kule juu nimeona unamuambia mtu akirudi apige hodi na vigelegele kama alivyoaga na huzuni...
hapa napo eeehhh; eti mtoto mtembezi atakula miguu yake? lahaula walauqwata ha ha ha h!!!!

Da Sophy pole shemeji!


Mkuu nilikua narejea vitabu vya kiada vya o level ndo nikakumbuka vijisemo vya fasihi

Kweli mkuu da sophy kwa hili atakula miguu yake, maana ndio iliyomtembeza hadi yakamkuta... ila akijifungua salama ntampelekea diapers...

wengine wanasema angenda juu kipungu, hafikilii mbinguni.. sasa sijui da sophy kwa kuja na lugha ya maombi na anakumbuka kuna mungu au vipi? au ile ya mwenda tezi na omo, marejeo ngamani

leo da sophy aomba tumuombee, la haula walaquata wallahi

haya, walio mecca na medina watamkumbuka kwa zao sala... kama zitaswihi ati'
 
Kama mwili umevimba wakucheki kifafa cha mimba uchukue tahadhari mapema mwanawane
 
We naye,,,,,,,,,,,,, do you think I need one?? mwone vile

We lete hizo chocolate nijiongezee kilo hapa. Thank you in advance:smile-big:
I am told most do without these n days............. hahah hizo chocolate mwenzio anjaribu kutengenezwa
his imaginary gal tatizo hapa sehemeu zitakazoongezeka zinaweza zikawa tofauti na matarajio ya
mhishiwa ....LOL
 
Back
Top Bottom