Tarehe ya maandamano ya Tanzania nzima

Maandamano nchi nzima ndio yameanza mkoa mpaka mkoa, wilaya kwa wilaya, jimbo kwa jimbo. mwisho tukijumlisha itakuwa imekidhi nchi zima!

Kitu chochote huitaji mipango mathubuti,so ni vyema tukajipanga kikamilifu mpaka mwezi wa sita mwaka huu ili wananchi haswa wa vijijini waelimishwe umuhimu wa kudai haki through maandamano.
 
Pale kumejaa vilaza, wanafiki na wazindiki, subiri moto wa Libya lazima ufike bongo tu, no way
 
Tunakosea sana tunapodhani kwamba maandamano ndiyo "formula",, si kweli. Kila nchi iko tofauti kwa mambo mengi sana. Utaona kwamba Libya hali bado ni tete kulinganisha na ilivyokuwa Egypt ambapo polisi ama jeshi lilikuwa upande wa Raia. Sasa muungwana aliyeanzisha hii post ana point nzuri sana kwamba ni vyema kupima kabla hamjajichuuza. Polisi watakuwa nanyi? Mko tayari kula bakora kisawasawa na kuendelea mbele? Maana msijekuwa mnaongea tu, halafu kalinyekalinye likianza wengi wanakimbia wanabaki wachache ambao sheria itawaweka pabaya sana. Wajuaji ni wengi sana humu na ninapata mashaka makubwa sana kama kweli hawa nao eti ni Great thinkers kama akina Magandaiboreko
 
msione kirahisi namna hiyo. Maandamano ni kitu kingine kabisa. Kwa sababu mtakuwa mmejunja katiba ya inchi kwahiyo mkiona wanajeshi wanawafyatulia risasi muone kawaida. Kuigeza inchi tz kuwa kama somalia,kwa sababu mnaweza kuongeza shida zaidi ya tulizonazo,tuanze maandamano halafu gala la siraha lifunguliwe kila mtu awe bunduki yake tuone kama kuna mtu atabaki

Misri Mubarak alifungulia vifaru na mizinga acha vijirisasi lakini bado katimua mbio. Acha kutisha watu. Kipi bora, mtu afe kwa kupigania nchi yake au afe kwa malaria kwa kukosa mlungula wa kumpa muuguzi ili apate dawa hospitali?
 
Tunakosea sana tunapodhani kwamba maandamano ndiyo "formula",, si kweli. Kila nchi iko tofauti kwa mambo mengi sana. Utaona kwamba Libya hali bado ni tete kulinganisha na ilivyokuwa Egypt ambapo polisi ama jeshi lilikuwa upande wa Raia. Sasa muungwana aliyeanzisha hii post ana point nzuri sana kwamba ni vyema kupima kabla hamjajichuuza. Polisi watakuwa nanyi? Mko tayari kula bakora kisawasawa na kuendelea mbele? Maana msijekuwa mnaongea tu, halafu kalinyekalinye likianza wengi wanakimbia wanabaki wachache ambao sheria itawaweka pabaya sana. Wajuaji ni wengi sana humu na ninapata mashaka makubwa sana kama kweli hawa nao eti ni Great thinkers kama akina Magandaiboreko

Salimia aka Salma wa Mkwere! Utatimua mbio wewe siyo sisi.
 
Magandaigobeko:
Utatukana sana dada, hii naona kisu kimegusa mfupa sasa. Ukweli unauma sana Sister

Siamini hata kidogo kama unayoyasema ni uwoga bali ninachoamini unatetea maslahi yako binafsi na mafisadi wenzako kuteketea baada ya haki kupatikana.. I advice U to stay silence na kujifungia ndani kwako na mke wako kama unaona jambo hili halina faida yeyote kwako na kizazi chako tuache watz tuweke mipaka ya umaskini na matatizo yanayotukabili, maandamano ni muhimu,pamoja!!
 
Tunakosea sana tunapodhani kwamba maandamano ndiyo "formula",, si kweli. Kila nchi iko tofauti kwa mambo mengi sana. Utaona kwamba Libya hali bado ni tete kulinganisha na ilivyokuwa Egypt ambapo polisi ama jeshi lilikuwa upande wa Raia. Sasa muungwana aliyeanzisha hii post ana point nzuri sana kwamba ni vyema kupima kabla hamjajichuuza. Polisi watakuwa nanyi? Mko tayari kula bakora kisawasawa na kuendelea mbele? Maana msijekuwa mnaongea tu, halafu kalinyekalinye likianza wengi wanakimbia wanabaki wachache ambao sheria itawaweka pabaya sana. Wajuaji ni wengi sana humu na ninapata mashaka makubwa sana kama kweli hawa nao eti ni Great thinkers kama akina Magandaiboreko



Tafadhali at least heshimu majina ya wenzako. Mimi natumia jina langu halisi yaani Igobeko Nyanda,sasa unapoleta utani kwa majina ya watu unaenda mbali.

Kuhusu uoga na virungu au mabomu ya hao mapolisi,niko tayari. Ni heri kufa shujaa kuliko kuishi kifa*a na kilofa! Hivyo nipo tayari na naogopa sana nisipokua hivyo vitukuu vyangu vitakanyaga kaburi langu kwa kukubali kuishi kifal* kisa naogopa mabomu.
 
I think we are on the right tarck, napenda kuwakumbusha tu ( am not JF Adm) kuwa tuchangie JF ili izidi kuimarika, tuwafikie wengi zaid. Ukiangalie Tunisia, Misri, Libya, Iran, Yemen n.k Social forums zimeplay part kubwa sana....au mnasemaje wenzangu?
 
Kuhusu uoga na virungu au mabomu ya hao mapolisi,niko tayari. Ni heri kufa shujaa kuliko kuishi kifa*a na kilofa! Hivyo nipo tayari na naogopa sana nisipokua hivyo vitukuu vyangu vitakanyaga kaburi langu kwa kukubali kuishi kifal* kisa naogopa mabomu.[/QUOTE]
Suala hapa si uoga tu,, bali ni nia thabiti badala ya haya mazungumzo baada ya habari na upotoshaji umma. Mwenzetu kauliza maswali mazuri kabisa kwamba kuna ulazima gani kutaka kutumia njia hii? Je great thinkers wamekosa kabisa njia zingine mbadala ambazo hazitahatarisha amani ya watanzania walio wengi wanaojitafutia riziki yao on a daily basis? Ndiyo maana bado napata kigugumizi na kuamini kwamba wengi hawapo Tanzania wanatumia mwanya huu kuwasakizia wengine wao wakae pembeni wakingoja kuletewa picha. Humpati mtu hapa Kaka, tafuta jingine.
 
point sio kuandamana tu kama siafu, tunatakiwa tujue tunachokitaka kwanza na tuandamane kama wananchi na wala sio kama chama, mkijifanya mnaandamana kama chadema tu tutakuwa tunasumbua mahakama tu wakati hukumu iko palepale,so wat to do? Wananchi wote wakiunganika/wakiunganishwa na mimi nitaingia street.halafu tujuane kabisa wangapi tuko tayari kufa? Na ukidedi utaenda wapi? Sio hujatubu midhambi yako halafu unaenda kuandamana, shaba ikikupata ya kichwa sjui utatubu sa ngapi,
 
Jamani mi sioni kwanini kuandamana kwa watu wale wale wanaofanya udhalimu, uonevu na ufisadi wabadilike na kutumikia taifa kwa uaminifu kutatua matatizo yetu, uongozi mpya na bora kama ilivyokua tunisia uwekwe hakuna hata mmoja aliyepo kwenye system kurudishwa madarakani natumaini ingeweza kutusaidia kuliko kumfundisha mmbwa mzee mbinu mpya na Chiriku mzee hakamatwi kwa makapi...
 
point sio kuandamana tu kama siafu, tunatakiwa tujue tunachokitaka kwanza na tuandamane kama wananchi na wala sio kama chama, mkijifanya mnaandamana kama chadema tu tutakuwa tunasumbua mahakama tu wakati hukumu iko palepale,so wat to do? Wananchi wote wakiunganika/wakiunganishwa na mimi nitaingia street.halafu tujuane kabisa wangapi tuko tayari kufa? Na ukidedi utaenda wapi? Sio hujatubu midhambi yako halafu unaenda kuandamana, shaba ikikupata ya kichwa sjui utatubu sa ngapi,

Sasa wewe ndiyo umeongea jambo la maana sana. Mambo ya kuandamana au ku manipulate watu waandamane bila kujua wanaandamana kutaka nini ni kukosa busara. Wenzetu huko Libya husikii eti ni wa chama hiki against kile, ni wote wameunganishwa kwa sababu kuna common interest hapo. Sasa hapa kwetu utaona wanaopiga kelele ni walewale ambao wanajulikana na hakuna sababu ya maana inayoweza kuwafanya watanzania wote watoke kuungana kwenye maandamano hayo. Binafsi, hamjanishawishi bado.
 
tunatakiwa tujue tunachokitaka kwanza na tuandamane kama wananchi na wala sio kama chama. Wananchi wote wakiunganika/wakiunganishwa na mimi nitaingia street


True story mazee. Mimi pia nina mtazamo huo. Maandamano yatafanikiwa tu yakiwa initiated na watu/raia/wananchi wa kawaida na siyo na chama.

Ila la kujua tunachotaka ndo tuandamane,umenishtua kama si kunishangaza! Upo TZ au? Yaani huoni maisha yalivyokua magumu sana sasa? Bei za vyakula juu! Nauli za mabasi juu! Mfumuko wa bei juu! Bei za umeme na maji juu! Tatizo la umeme halijaisha toka 1961 wakati tuna gesi,makaa ya mawe,bahari,jua na upepo! Bado akina mama wajawazito wanakufa ovyo wakati serikali ina tumia magari ya milioni zaidi ya 200! Wakulima wanakosa masoko ya mazao yao,ivyo mazao kuoza au kuuza kwa bei za hasara!

Kama huna sababu ya kuandamana mkuu pole sana. Lakini mimi nipo tayari kwa sababu nina sababu za kutaka kuona utawala dhalimu wa CCM ungeanguka.
 
Back
Top Bottom