dah hii ni dhoroba hamna cha short list kwa walichukua tu wote hebu check
assistant account 624
office attendant 220
system administrator 234
human resources manager 712
warden 626
assistant internal auditor 284
planning officers 228
sipati picha dodoma itafurika vipi
bt all in all would like to wish those whom have bn shortlisted best of their luck......
wewe tumekuchagua tayari, tutakujulisha very soon!..tena una bahati tumekuchagua peke yako umekosa wapinzani!
Weka link ya udom tafadhali...sie wengine tnatumia simu
hii ni dhoroba ansilakao ckeck hii
wanahitaji human resources officer 15 applicants 712
wanahitaji planning officer 4 #of applicants 224
warden wanahitaji 15 # of applicants 626
assistant acciunt wanahitaji 17 # applicants 334
Ebwana eeeh, hivi siku hizi ule msamiati wa kushortlist applicants kwaajili ya interview kwenye maswala ya ajira haupo tena? Nimeuliza hili maana ajira nyingi za serikalini siku hizi hawafanyi shortlisting tena bali wanalonglist na kumwachia applicant mmoja mmoja kazi ya kujishoertlist mwenyewe baada ya kuangalia na kutafakari cost and benefits za kuhudhuria hiyo interview.