Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Scientists have discovered that watermelon can produce effects similar to Viagra. So many people enjoy watermelon. It is a delicious summer fruit that finds itself being eaten at many a barbecue. Chilled and then sliced, watermelon is easy to pass around. But now, there may be more benefits to that slice of watermelon you are holding in your hands than previously thought.

Watermelon contains citrullin. Citrulline triggers production of a substance that can help relax a person's blood vessels, which is similar to the effect that happens when men take Viagra. Citrulline is found in the rind of the watermelon and reacts with a person's enzymes when ingested in large quantities. It is then changed into arginine inside the body. Arginine is an amino acid good for helping the heart, circulatory and immune systems. It appears to have very little negative side effects.

Citrulline can be found in all varieties of watermelon, but it is found in the highest quantities in yellow-fleshed type watermelons.

There is a caveat though: A person would need to consume about six cups of watermelon to get the necessary effects of boosting one's arginine level. That is far more watermelon then the average person consumes at one sitting. But scientists want to synthesize citrullin into a far easier method of delivery such as pills, with the hopes of one day providing a safer alternative to drugs such as Viagra.

They would also like to reduce the sugar content that is in watermelon if synthesized into pill form, as too much sugar can outweigh the positive benefit that citrulline provides.

Citrulline is found in other fruits such as cantaloupe, but the level at which it is present is far lower than watermelon. One day, Citrulline might be easier to take than now, but for the current time, maybe men should try eating more watermelon. Who knew that watermelon might just spice up your love life?

If you want to spice up your love life by getting the effects of watermelon, then click here to check out Watermelon's Love Effects!
Article Source: http://EzineArticles.com/?expert=Dean_Olmstead
 
Wadau, mnisaidie ili niweze jua muda muwafaka kupata mtoto wa kike au wa kiume esp thru M-cycle...
 
Asante sana mkuu kwa ushauri wako nimefuragi sana mimi kwa upande wangu na nadhani sio mimi tu ambao tumefaidika hapa ni wengi so nashukuru sana na endelea kutuelisha zaidi na zaidi maana inabidi tusaidiane kuna wengine waliofanikiwa kupata walichonacho lakini ukimuuliza kutaka kujua majibu watakayo kujibu utajuta kwa nini uliuliza so tunashukuru na tupo pamoja

Safi sana, mjadala unasaidia wengi....
 
Last edited:
HTML:
2. Baada ya kujua urefu wa menstral cycle ya mwenzi wako then pin point siku ile ya mwisho halafu uhesabu backwards siku 15 kuanzia siku ile ya mwisho. Siku hii ya 15 kuanzia mwisho ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote!

Once you know the '15th day' from the last one, then you can manoeuvre whatever you want to get her pregnant or to avoid pregnancy!

Nakubaliana na kanguruwemweupe kwa asilimia 99 ila ila hiyo asilimia 1
ni kwamba nilisoma some where kuwa unahesabu kama hapo juu ila siku ya 14 ndiyo siku ya mimba siyo 15.
Ntakuletea tittle ya kitabu, chapter & page ukitaka.
 
Maelezo yako ya mwanzo umeya-reverse.
Ni kwamba mbegu za kiume ziko slow kwa speed wakati za kike ziko fast. Lakini life span ya mbegu za kiume ni kubwa yaani 72hrs wakati zile za kike ni 48hrs only tangu kuwa ejected.
Nimependa maelezo yako maana naona unajaribu kutengeneza possibility ya mtu kuzaa mtoto wa jinsia aitakayo.

Thanks!!!!!!!!
wewe ndiyo umekosea yeye alikuwa sahihi
 
Je, kama unataka kuzuia mimba, hizo siku chache zinatosha kuacha kukutana?
 
May God help you all. For what I know, watoto ni thawabu toka kwa Mungu, Mungu ndiye mpaji wa vyote. ila Mungu pia ndo ametupatia sisi elimu na uelewa wote tulionao, hivyo tunaweza kuwa tunautumia pia.

Kuna kitu hata mimi sijaelewa hapo, kuna mtu hapa amesema kuwa, ati mwanamke akiwa anaenda siku pungufu ya kumi na nne ana matatizo na hatopata mtoto. nielewavyo mimi, kuna wanawake wengine wanaenda bleed siku hata 22 na 23. Je, hao nao hawatapata mtoto? Na kwanini.


Jamani; mi najua ni siku 7 - 14 days ku bleed but 22 days is it normal
Rgrds
Rehema
 
Jamani; mi najua ni siku 7 - 14 days ku bleed but 22 days is it normal
Rgrds
Rehema

Rehema/Darling,
Pengine anazungumzia mzunguko wa siku 22 (na si kwamba anableed siku 22 mfululizo!). Kubleed kwa siku 22 mfululizo sio kawaida.

Lakini kwa ujumla kuna variations sana baina ya wanawake linapokuja suala la hedhi. Variation pia inaweza kutokea kwa individual.
 
Note: kulingana na hali ya afya ya mwanamke na hali ya hewa...mimba inaweza kutungwa siku yeyote kati ya 11-17. i.e between day 11 and day 17.

Kwa mwanamke ambaye mzunguko wake huchukua siku 28 basi kwa makadirio ni kwamba yai litakuwa tayari kuanguliwa siku ya 14.
kwahiyo mbegu za kiume zinauwezo wa kukaa ukeni (sehemu ambapo kemia ya kurutubisha inapofanyika) kwa masaa yasiyopungua 36 (about 2 days). kwahiyo ukifanya hako kamchezo tuseme siku ya 11 au ya 12 (inategemea ni saa ngapi) basi kuna uwezekano wa mbegu za kiume kurutubisha yai la mwanamke kunako siku ya 14.

Vivyo hivyo yai linapoanguliwa siku ya 14 linauwezo wa kukaa zaidi ya masaa 36 katika sehemu husikakwahiyo kuna uwezekano kwamba mwanamke akiingiliwa katika siku 15, 16 na hata mara nyingine siku ya 17 uwezekano wa kutunga mimba upo kwa kiasi kikubwa!!
Ujanja: unaweza kutumia mbinu hii ya kufanya tendo kabla ya siku, siku husika, au baada ya siku ya kuanguliwa yai ili kuweza kupanga jinsia ya watoto unaotaka (kike au kiume)
 
Kuna jamaa ana watoto wanne na sidhani kama alikua anacheki tarehe,maana hajaoa na wala hakuwa anahitaji watoto lakini ndo hivyo tena kila mwanamke alikua akidungua lazima apinde mgongo sasa hapo sijui kama kuna utaalamu wowote aliotumia,mi naona swala la kupata watoto ni majaaliwa tu,unaweza ukajipinda kwenye hizo tarehe na ukapiga hola vilevile.
 
Mimi mke wangu anajifunga kijiti kiunoni kama yuko kwenye hatari ya kupata mimba na mimba haiingii, tmefanya hivyo kwa muda wa mika 15 sasa
 
Back
Top Bottom