MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
[FONT=arial,helvetica,sans-serif]Wale wahusika wa hii mambo wapitie pande za tangazo hili
MABADILIKO YA TAREHE ZA USAILI[/FONT] Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anawatarifu waombaji kazi kuwa tarehe za usaili zimebadilika kutokana na mabadiliko ya tarehe ya sikukuu ya Eid el Hadjj.
[h=4][/h][h=4]Aidha, ukaguzi wa vyeti utaanza saa 1:00 hadi 1:45 asubuhi siku ya mtihani wa mchujo. Hivyo usaili utafanyika kama ifuatayo: 1. Usaili wa Mchujo kwa mikoa ya MOROGORO, MANYARA, PWANI, ARUSHA, KILIMANJARO na TANGA utafanyika tarehe 29/10/2012. 2. Usaili wa Mahojiano kwa mikoa ya MOROGORO, MANYARA, PWANI, ARUSHA, KILIMANJARO na TANGA utafanyika tarehe 30/10/2012. 3. Usaili wa Mchujo kwa mkoa wa DAR ES SALAAM utafanyika tarehe 27/10/2012 CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU (DUCE) - CHANGOMBE 4. Usaili wa Mahojiano kwa mkoa wa DAR ES SALAAM utafanyika tarehe zilizopangwa awali (01/11/2012 na 02/11/2012) na utafanyika katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira zilizoko Maktaba ya Taifa barabara ya Bibi Titi Mohamed Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
[/h]
MABADILIKO YA TAREHE ZA USAILI[/FONT] Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anawatarifu waombaji kazi kuwa tarehe za usaili zimebadilika kutokana na mabadiliko ya tarehe ya sikukuu ya Eid el Hadjj.
[h=4][/h][h=4]Aidha, ukaguzi wa vyeti utaanza saa 1:00 hadi 1:45 asubuhi siku ya mtihani wa mchujo. Hivyo usaili utafanyika kama ifuatayo: 1. Usaili wa Mchujo kwa mikoa ya MOROGORO, MANYARA, PWANI, ARUSHA, KILIMANJARO na TANGA utafanyika tarehe 29/10/2012. 2. Usaili wa Mahojiano kwa mikoa ya MOROGORO, MANYARA, PWANI, ARUSHA, KILIMANJARO na TANGA utafanyika tarehe 30/10/2012. 3. Usaili wa Mchujo kwa mkoa wa DAR ES SALAAM utafanyika tarehe 27/10/2012 CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU (DUCE) - CHANGOMBE 4. Usaili wa Mahojiano kwa mkoa wa DAR ES SALAAM utafanyika tarehe zilizopangwa awali (01/11/2012 na 02/11/2012) na utafanyika katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira zilizoko Maktaba ya Taifa barabara ya Bibi Titi Mohamed Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
[/h]