Tarehe 9 December uwa tunasherekea uhuru wa Tanganyika au Tanzania?

Ubumuntu

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
14,314
10,775
WanaJF ivi toka mwaka 1964 baada ya kuanzishwa kwa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,kila tarehe 31 ya Disemba uwa tunasherekea uhuru wa Tanganyika au Tanzania? Maana kama ni wa Tanzania,then nafikiri tumeingizwa chaka. Naomba kuwakilisha.
 
Kuna Tanganyika na Tanzania

ila huo uhuru haupo wala haukuwepo!! uhuru wa bendera na wimbo wa taifa siyo uhuru, acha huo uongo, na kamwe usiwaeleze watoto wako hatuna uhuru kwa ccm hii, wala haukuwepo, still todate tunatawaliwa!

nani aliwapa uhuru weye? uhuru kamili ni ikipatikana katiba mpya, wakati kila raia kwa itikadi yake atakuwa na uhuru na kujimwaga kenye taifa lake!!! Baada ya kuondoka waingereza, walifuata CCM ambao wanatutawala mpaka leo hii! Tanzania sio huru kwa CCM hii! hii!

Katiba mpya is a solution
 
Tanzania ipo huru tangu izaliwe kutoka Tanganyika na Zanji. Hapo tunasheherekea uhuru wa Tanganyika.
 
Tanzania ipo huru tangu izaliwe kutoka Tanganyika na Zanji. Hapo tunasheherekea uhuru wa Tanganyika.

Thats right!! Ni uhuru wa Tanganyika na si Tanzania!!... Historia inapotoshwa!!!
 
WanaJF ivi toka mwaka 1964 baada ya kuanzishwa kwa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,kila tarehe 31 ya Disemba uwa tunasherekea uhuru wa Tanganyika au Tanzania? Maana kama ni wa Tanzania,then nafikiri tumeingizwa chaka. Naomba kuwakilisha.
Tanganyika
 
QUOTE=ejogo;Tanzania ipo huru tangu izaliwe kutoka Tanganyika na Zanji. Hapo tunasheherekea uhuru wa Tanganyika.

Vyema. Ila mbona uwa haisemwi kama tunasherekea uhuru wa Tanganyika? Na kwanini tusheherekee uhuru wa nchi ya kufikirika?
 
WanaJF ivi toka mwaka 1964 baada ya kuanzishwa kwa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,kila tarehe 31 ya Disemba uwa tunasherekea uhuru wa Tanganyika au Tanzania? Maana kama ni wa Tanzania,then nafikiri tumeingizwa chaka. Naomba kuwakilisha.
Tunasherikea Mwisho wa mwaka na Kesho yake tunasherekea Mwaka Mpya.
 
Thats right!! Ni uhuru wa Tanganyika na si Tanzania!!... Historia inapotoshwa!!!

Ni bora tukubali alichozema Waberoya HAKUNA UHURU wowote labda tupate KATIBA mpya itakayotoa majibu ya maswali yetu.
Kwa kuanzia mimi nina maswali matano.

1. Tukisema ni uhuru wa Tanganyika kwa nini tunaalika Heads of States kuja kwenye shere Dec 9. Mkuu wa hiyo Tanganyika ni nani???
2. Tukisema ni uhuru wa Tanzania Bara, historia inaonyesha hakuna nchi inayoitwa jina hilo imewahi kupata uhuru Dec 9.
3. Tunapokuwa na rais wa muungano kutoka zanzibar, sherehe za Dec 9 nani atakagua gwaride? Akikagua yeye atakagua kama rais wa Tanganyika au mwakilishi wake???
4. Kwa nini kwenye sherehe za mapinduzi zanzibar Jan 12 viongozi wa mataifa (heads of states) hawahudhurii kama wanavyoalikwa Dec 9. Je ndio kusema Tanganyika inaitawala Zanzibar??
5. Je JWTZ inahusika kwenye sherehe za Mapinduzi au ni vikosi vya serikali ya mapinduzi tuuu????

Jibu la mkanganyiko wote huu ni KATIBA mpya na si vinginevyo.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom