Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
wakubwa hivi mnajua muda uliotolewa na CCM kwa mafisadi kwa wamejiandoa chamani ni 10/7/2011 na ikifika 11/7/2011 basi 'mafisadi' watatoswa.Leo ni karibu wiki tatu lakini hawajapewa barua.
Note:maazimio hayo yalitolewa April 10,2011 hivyo miezi mitatu ni 10/7/2011
Tusubiri
Note:maazimio hayo yalitolewa April 10,2011 hivyo miezi mitatu ni 10/7/2011
Tusubiri