Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Kama kweli mgomo unakuumiza na umeonea huruma wanao kufa na kuteseka serikali kuisubiri mahakama iamue basi sisi wananchi ndio vyote vitatu serikali bunge na mahakama. Tunaamua kuandamaana kuanzia ubungo mataa siku ya jumatano asubuhi na wenzetu walalahoi wa mikoani na wenye mapenzi mema mtuunge mkono. Kifo hakina subira na tuandamane tunaweza tunaweza na tunaweza Allah tusaidie Mungu Tusaidie wake watoto na wanaume na tujitokeze piga mbiu watu wanakufa tunakaa tu na tujitokeze