Mkuu, nina duka la bidhaa la rejareja nikiwafata wanaweza nipiga hata ngapi kwa makadirio?Hutegemea na aina ya biashara...
Mkuu, utakuaje na TIN bila Leseni kuwa nayo kwanza?Tafuta buku 50. TIN utaipata ndani ya cKu moja. La sivyo utamaliza viatu...
lipie kkwani wao ndo wanaojua kuna tin ya gari na tin ya biashara sasa kazi kwako kujipangaHabari zenu wakuu,
Nilikuwa naulzia jinsi ya kupata Tin maana nilikuwa nina tin tayari nilopata wakati napata leseni ya udereva, sasa nimeenda TRA waibadili iwe ya biashara naambiwa nilipie kiasi kadhaa..
Unahitaji TIN kwa ajili ya nini? Mfano, biashara, leseni ya udereva, kutolea/kumiliki gari au pikipiki, au kulipia kodi ya majengo(property tax)? Nijibu hapo ili nikupe utaratibu.Habarini ndugu,
Naomba msaada nataka TIN namba ninahitajika kwenda na kitu gani TRA?
Nauliza watahitaji vitu ani mfano picha na vinginevyo
Ahsanteni
Nenda wewe mwenyewe haitakiwi pesa na hizo picha watakupiga pale pale wentewe uwe na details zako binafsi na ujue unataka TIN kwa shughuli gani.Habarini ndugu,
Naomba msaada nataka TIN namba ninahitajika kwenda na kitu gani TRA?
Nauliza watahitaji vitu ani mfano picha na vinginevyo
Ahsanteni
OH ASANTENenda wewe mwenyewe haitakiwi pesa na hizo picha watakupiga pale pale wentewe uwe na details zako binafsi na ujue unataka TIN kwa shughuli gani.
Utaitumia hiyo hiyo kwa mambo yako yote. Lakni utakapofungua biashara ni sharti kufika ofisi za TRA ili hiyo TIN Certificate ibadilishwe kutoka kuwa for Non Business.kwa mfano mimi ninayo ya lesseni ya gari, naweza kuitumia kwa mishe nyingine wakuu au itanilazimu kufungua nyingine???
Hapana ofisi zinafunguliwa kila jumatatu mpaka ijumaa kuanzia saa mbili kamili mpaka saa kumi na moja kamili jioni. Siku za Jumamosi na Siku kuu za umma labda kwa maelekezo ya Kamishina mkuu.OKY HOPEFUL WANAFANYA KAZ JUMAMOSI