Taratibu za kufuata ili kupata TIN Number

unaonekana muoga kwenda tra, so nipm kama upo dar, nikupe namba ya kishoka, ukifika tu, atakuelekeza, tin namba ni bure, yeye utampoza hata buku tano tu. Maana wewe ni muoga kwenda tra
 
Ni 50,000, ila kwa wewe member mwenzangu fanya 45,000.
Ni PM kwa maelezo zaidi.
 
Habari zenu wakuu,

Nilikuwa naulzia jinsi ya kupata Tin maana nilikuwa nina tin tayari nilopata wakati napata leseni ya udereva, sasa nimeenda TRA waibadili iwe ya biashara naambiwa nilipie kiasi kadhaa..
 
Habari zenu wakuu,

Nilikuwa naulzia jinsi ya kupata Tin maana nilikuwa nina tin tayari nilopata wakati napata leseni ya udereva, sasa nimeenda TRA waibadili iwe ya biashara naambiwa nilipie kiasi kadhaa..
Mkuu me nipo salama,
kuhusu hiyo TIN ni lazima ufanyiwe makadirio ya biashara unayoenda kufanya na mwisho wa siku utalipa hiyo pesa ili upewe Tin ya kufanya biashara husika. Watu wanachanganya private Tin(ambazo hulipi chochote na nahisi siku hizi wanaziondoa kimia kimia) na zile za biashara, ndio maana Tra wakaweka huo utaratibu wa kuweka kadirio na wajue unafanyia wapi hiyo biashara ili mwisho wa siku uweze kulipa kodi. Huo ni uelewa wangu kuhusu Tin.
 
Tin namba ni BURE
Jaza form ya makadirio, then utawaachia watakwambia kachukue kesho tin namba hakuna kulipa hata senti moyaa. Kama una Leseni lazima utakua na tin, chukua certificate ya Hiyo tin ambayo unaipata huko huko tra ambatanisha na fom ya makadirio then peleka tra.cha msingi pata ushauri wa makadirio kwanza kabla ya kuwaona tra vinginevyo utajuta
 
MFUMO WA KODI NI WA KIDIKTETA! NA NDIYO MAANA WATU WENGI WANAAMUA KUFANYA BIASHARA BILA TIN WALA LESENI! HUENDA SIKU MOJA UKAJUTA KUWA ULIFANYA MAKOSA KUWA NA TIN! KUKUPA KWENYEWE MPAKA UMALIZE VIATU UNAFUATILIA TIN! HATA KAMA NI BURE NI KERO!
 
TIN inayotumika ni moja tu...mlipa kodi mmoja huwezi kuwa na TIN mbili au tatu kwa wakati mmoja. Hiyo uliyonayo ndio inatumika kinachofanyika wakati wa makadirio unataja biashara zote ulizonazo.
Mfano:
1. Gari ya mizigo
2. Guest House
3. Dry Cleaner
4. Biashara ya Mazao nk
Hizi biashara zote zinajumuishwa chini ya TIN moja, makadirio yanafanyika na unalipia kodi kwa pamoja kulingana na kiwango cha migawanyo utakachopangiwa.
 
Tin namba ni BURE
Jaza form ya makadirio, then utawaachia watakwambia kachukue kesho tin namba hakuna kulipa hata senti moyaa. Kama una Leseni lazima utakua na tin, chukua certificate ya Hiyo tin ambayo unaipata huko huko tra ambatanisha na fom ya makadirio then peleka tra.cha msingi pata ushauri wa makadirio kwanza kabla ya kuwaona tra vinginevyo utajuta
Mkuu, na jinsi ya kuwa na leseni ya biashara unalipia shilingi ngapi?
 
Mkuu, na jinsi ya kuwa na leseni ya biashara unalipia shilingi ngapi?[/QUOTE
Sidhani kama gharama ya Leseni za biashara zote ni sawa, chamsingi nenda ofis za halmashauri/manispaa watakupa gharama kutokana na aina ya biashara
 
Mkuu nicheck nikusaidie kuna mtu alikuwa na kazi ya kufungua money Transfer nilimsaidia kupata Tin na Lesseni pia.
0767074040
 
Back
Top Bottom