Wadau mimi nimeajiriwa kama mwalim ktk chuo kikuu flan hapa tz. Nina miaka mi4 kazini. Kwa sasa nimechoka kuwatumikia hawa mabwana kwa hiyo naomba mnipe taratibu za kufuata ktk kuacha kazi. Asanteni, nawasilisha.
kwa mujib wa sheria ya ajira na mahusiano kazini, unapaswa kutoa notice ya siku 28 kwa maandishi, ama kulipa mshahara wako wa mwezi mmoja. Ila kwa mujibu wa sheria ya utumish wa uma na kanuni zake unaweza kuacha kaz ndani ya saa 24 kawa kuandika barua pamoja na kulhpa mshahara wa mwez mmoja.
Ebu tutajie hiko chuo mkuu,si vibaya ukituambia,na labda ungetuambia na sababu ni kwann unaacha?
Nimebaki na ??????? kuliko kawaida..