Taratibu za Kisheria za kipuuzi

mzanganyika

JF-Expert Member
Sep 3, 2009
257
6
Mara nyingi nimekuwa nikisoma habari kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mazito kama ya mauwaji lakini mtuhumiwa hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka na uwezo wa kusikiliza kesi za namna hiyo.

Hivi mtu mwenye akili zake anaweza kwenda sebuleni kwa lengo la kujisaidia halafu akasema hapa hapafai kujisaidia, natakiwa niende msalani?

kwa nini muda hauheshimiwi katika kutekelezxa sheria wakati sote tunajua 'justice delayed is justice denied'.

Pengine hapa kuna wanasheria wanaoweza kutusaidia kwa nini mwenye haja asiende msalani moja kwa moja na kwanza apitie sebuleni.
 
Mimi si mwana sheria ila hizi ni taratibu za kiutendaji tu, kwamba ni lazima kupitia mahakama ya chini ndo ufike ya juu. Kama vile huwezi kwenda ahera kama ujafa, ni lazima ufe kwanza n then ------.
 
Mara nyingi nimekuwa nikisoma habari kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mazito kama ya mauwaji lakini mtuhumiwa hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka na uwezo wa kusikiliza kesi za namna hiyo.

Hivi mtu mwenye akili zake anaweza kwenda sebuleni kwa lengo la kujisaidia halafu akasema hapa hapafai kujisaidia, natakiwa niende msalani?

kwa nini muda hauheshimiwi katika kutekelezxa sheria wakati sote tunajua 'justice delayed is justice denied'.

Pengine hapa kuna wanasheria wanaoweza kutusaidia kwa nini mwenye haja asiende msalani moja kwa moja na kwanza apitie sebuleni.
Inategemeana na architectural design.... kama toilet iko uwani na inabidi upitie ukumbini ndio utoke nje... hunabudi kufuata njia.Hutaacha kupita sebuleni kwa vile unaenda toilet.Likewise mfumo wetu/architecture ya mahakama zetu iko kama hivyo.... utaanza kwenda mahakama za chini kwa ajili ya kusomewa mashtaka na hatimaye PI kabla ya commital to High Court. Tulikopi ramani za wenzetu hivyo tutaishi hivyo hivyo na inconviniences.Sababu ya kwenda mahakama za chini ni kusomewa mashtaka huku taratibu nyingine zikiendelea ikiwa ni pamoja na kukamilisha upelelezi/uchunguzi.Kumbuka mahakama za juu ni chache na hivyo huwezi kwenda kuzidisha msongamano, na hata wangesomewa mashtaka huko bado ksei isingeweza kuendelea.
 
Inategemeana na architectural design.... kama toilet iko uwani na inabidi upitie ukumbini ndio utoke nje... hunabudi kufuata njia.Hutaacha kupita sebuleni kwa vile unaenda toilet.Likewise mfumo wetu/architecture ya mahakama zetu iko kama hivyo.... utaanza kwenda mahakama za chini kwa ajili ya kusomewa mashtaka na hatimaye PI kabla ya commital to High Court. Tulikopi ramani za wenzetu hivyo tutaishi hivyo hivyo na inconviniences.Sababu ya kwenda mahakama za chini ni kusomewa mashtaka huku taratibu nyingine zikiendelea ikiwa ni pamoja na kukamilisha upelelezi/uchunguzi.Kumbuka mahakama za juu ni chache na hivyo huwezi kwenda kuzidisha msongamano, na hata wangesomewa mashtaka huko bado ksei isingeweza kuendelea.

Nakubaliana na wewe, hata kupitia mahakama ya chini na wenyewe ni utaratibu wa kisheria kwa ajili ya kuiandaa kesi kufikishwa High Court.
 
Back
Top Bottom