mzanganyika
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 257
- 6
Mara nyingi nimekuwa nikisoma habari kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mazito kama ya mauwaji lakini mtuhumiwa hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka na uwezo wa kusikiliza kesi za namna hiyo.
Hivi mtu mwenye akili zake anaweza kwenda sebuleni kwa lengo la kujisaidia halafu akasema hapa hapafai kujisaidia, natakiwa niende msalani?
kwa nini muda hauheshimiwi katika kutekelezxa sheria wakati sote tunajua 'justice delayed is justice denied'.
Pengine hapa kuna wanasheria wanaoweza kutusaidia kwa nini mwenye haja asiende msalani moja kwa moja na kwanza apitie sebuleni.
Hivi mtu mwenye akili zake anaweza kwenda sebuleni kwa lengo la kujisaidia halafu akasema hapa hapafai kujisaidia, natakiwa niende msalani?
kwa nini muda hauheshimiwi katika kutekelezxa sheria wakati sote tunajua 'justice delayed is justice denied'.
Pengine hapa kuna wanasheria wanaoweza kutusaidia kwa nini mwenye haja asiende msalani moja kwa moja na kwanza apitie sebuleni.