zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Taarifa nilizonazo mpka muda huu ni kuwa wanajeshi wenye elimu ya stashahada au diploma wanatarajia kuanza usaili tar 16/04 mwaka huu.
kwa haraka haraka ni kuwa wanafikia kama 200 hivi ambao kati yao wenye diploma za masomo ya sayansi hawafiki hata 30......
Acheni kurushana roho ajira za nje bado hata hazijafikiliwa kwa sababu hao wanao endesha usaili wa ndani ndo hao watakao fanya wa nje....wale vijana ambao walikuwa kwenye maandalizi ya gwaride la muungno wameshapewa RUHUSA kujiandaa na usaili tangu leo.
:laser::laser::laser::laser::laser::laser:
:laser::laser::laser::laser::laser::laser:
kwa haraka haraka ni kuwa wanafikia kama 200 hivi ambao kati yao wenye diploma za masomo ya sayansi hawafiki hata 30......
Acheni kurushana roho ajira za nje bado hata hazijafikiliwa kwa sababu hao wanao endesha usaili wa ndani ndo hao watakao fanya wa nje....wale vijana ambao walikuwa kwenye maandalizi ya gwaride la muungno wameshapewa RUHUSA kujiandaa na usaili tangu leo.
Nawakilisha.
:laser::laser::laser::laser::laser::laser:
:laser::laser::laser::laser::laser::laser: