Msije panda gari hili. Ni bovu sana, toka saa 12 alfajiri sasa ndio tunaingia Dodoma.
Limejaza sana mizigo ndani, korido haipitiki.
Polisi wanaliona na tumeongea, lakini hamna hatua walizochukuliwa wahudumu wa basi hili.
Polisi wamesema tuendelee na safari, dereva atalipia makosa yake akiwa anatoka Bujumbura.
Nimewahi kulipanda tokea Nzega-dar nilichoka make ilikuwa jioni saa12 na usafiri taabu njiani na nawahi kazini,nilisimama tokea Nzega-Mor.Limepakia wanyaru na wana roho mbaya kinyama,hapendi hata umsogolee na ukijitikisa tu wanakutusi kwenye kinyaru,sitakuja kulipanda tena basi kama daladala...nilibahatika kufika dar saa6 ksho yake niko hoi taabani