Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
Msije panda gari hili. Ni bovu sana, toka saa 12 alfajiri sasa ndio tunaingia Dodoma.
Limejaza sana mizigo ndani, korido haipitiki.
Polisi wanaliona na tumeongea, lakini hamna hatua walizochukuliwa wahudumu wa basi hili.
Polisi wamesema tuendelee na safari, dereva atalipia makosa yake akiwa anatoka Bujumbura.
Limejaza sana mizigo ndani, korido haipitiki.
Polisi wanaliona na tumeongea, lakini hamna hatua walizochukuliwa wahudumu wa basi hili.
Polisi wamesema tuendelee na safari, dereva atalipia makosa yake akiwa anatoka Bujumbura.