Tapeli tapeli

Khaaaaa! Umenikumbusha sekandare skuli. Form one akithubutu kumkopesha form foo, basi asisubutu kuja kudai...

attachment.php
Halafu baada ya miaka ishirini
huyo anaemkanyaga (ashakum) anaishia kua taxi driver,
tena taxi ya tajiri, yeye analipwa per day,
na huyo anae kanyagwa (ashakum)
anakua lawyer kwenye international organization,
anafanya kazi as expat in the UK (true story)
 
Mkuu NN,
Wameshakukamatia tena wapi? Nilifikiri akishakamatwa Papa Msofe basi wataogopa. Kumbe bado wapo?
 
Unajifanya wa maana sana kwenye mabandiko yako wakati ukweli wa mambo wewe ni tapeli tapeli.

Hiyo tabia ni mbaya sana kwa sababu mwisho wa utapeli ni aibu.

Watu wanakusaidia kwa nia njema kabisa kumbe wewe moyoni unawaona hawana maana. Unajiliza liza una shida, unaomba msaada. Msaada unapewa, baadaye unajifanya mjanja na kuingia mitini na mali za watu.

Hivi mama yako hakukupa mafundisho ya maadili mema wewe? Sasa limebumbuluka na utakiona cha mtema kuni.

Hiyo post inaonesha huyo mtu unamfaham hata kwa sura na kwa ukaribu zaidi na jf, sasa amekutapelije au ulikuwa humjui umekutana nae barabarani?? na kwanini usimwambie direct akajua unajua. hapa ukute hata jina lako la ukweli halijui atasoma atafikiri ni mtu anafikisha tu ujumbe kwa jamii. be stong and tell it to his or her face.
 
wala usijidanganye!unaweza vipi kumuamini mtu anayetumia fake ID na avatar ambayo sio yake sawa na mtu unayemfahamu physically mtaani kwenu??


Nadhani wewe ndo wajidanganya. Kutumia fake id si kigezo cha kutokuwa mwaminifu bali ni mtu analinda privacy yake, na pia kumfahamu mtu physically haina uhusiano na uaminifu kabisa; nakupa mfano wa kweli- 2009 kupitia mtandao niliwasiliana na mtu wa zambia ( sikuwa nimemuona na hata sasa sijaonana nae) akanisaidia kunipa information fulani pamoja na kunilink na watu fulani ambao wamenisaidia sana katika kazi zangu na nimeweza hata kusafiri nje kupitia huyu mtu ambaye mpaka leo sijaonana nae. Hivyo uaminifu ni tabia ya mtu, kuonana physically si guarantee ya uaminifu
 
Nadhani wewe ndo wajidanganya. Kutumia fake id si kigezo cha kutokuwa mwaminifu bali ni mtu analinda privacy yake, na pia kumfahamu mtu physically haina uhusiano na uaminifu kabisa; nakupa mfano wa kweli- 2009 kupitia mtandao niliwasiliana na mtu wa zambia ( sikuwa nimemuona na hata sasa sijaonana nae) akanisaidia kunipa information fulani pamoja na kunilink na watu fulani ambao wamenisaidia sana katika kazi zangu na nimeweza hata kusafiri nje kupitia huyu mtu ambaye mpaka leo sijaonana nae. Hivyo uaminifu ni tabia ya mtu, kuonana physically si guarantee ya uaminifu

Absolutely!!!
 
Unajifanya wa maana sana kwenye mabandiko yako wakati ukweli wa mambo wewe ni tapeli tapeli.

Hiyo tabia ni mbaya sana kwa sababu mwisho wa utapeli ni aibu.

Watu wanakusaidia kwa nia njema kabisa kumbe wewe moyoni unawaona hawana maana. Unajiliza liza una shida, unaomba msaada. Msaada unapewa, baadaye unajifanya mjanja na kuingia mitini na mali za watu.

Hivi mama yako hakukupa mafundisho ya maadili mema wewe? Sasa limebumbuluka na utakiona cha mtema kuni.
pole sana nani huyo tumsemee kwa baba
 
unajifanya wa maana sana kwenye mabandiko yako wakati ukweli wa mambo wewe ni tapeli tapeli.

Hiyo tabia ni mbaya sana kwa sababu mwisho wa utapeli ni aibu.

Watu wanakusaidia kwa nia njema kabisa kumbe wewe moyoni unawaona hawana maana. Unajiliza liza una shida, unaomba msaada. Msaada unapewa, baadaye unajifanya mjanja na kuingia mitini na mali za watu.

Hivi mama yako hakukupa mafundisho ya maadili mema wewe? Sasa limebumbuluka na utakiona cha mtema kuni.

pole kwa kutendwa na tapelii umeongea kwa huzuni mungu atakulipa
 
Back
Top Bottom