Kilongwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 423
- 115
Ndugu wana jamii,timu nzima ya TanzMED imekamilisha hatua nyingine bora zaidi ambayo itawawezesha wanajamii kuwasiliana na daktari moja kwa moja.Tumefikia hatua hii baada ya kupata maoni toka kwa watu wakisema kuna baadhi ya magonjwa ni ya siri na ni ngumu kuyaweka hadharani.
Hivyo kama una tatizo,unaweza kuwasiliana na kundi la Madkari wa TanzMED bila gharama kwa kwenda HAPA
TanzMED -Admin
Hivyo kama una tatizo,unaweza kuwasiliana na kundi la Madkari wa TanzMED bila gharama kwa kwenda HAPA
TanzMED -Admin