ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Mchezaji wa zamani wa timu ya Majimaji na Tanesco ya Songea Ambrose Mwingira (Ayoyi) amefariki dunia usiku wa kuamkia jumapili tarehe 30/10/2012. kwa mujibu wa familia Ambrose alikua anasumbuliwa na malalia kwa siku tatu mfululizo hadi mauti yanamkuta . Familia imetangaza mazishi yake yatafanyika kesho jumanne nyumbani kwao bombambili Songea