Kwa masikitiko makubwa kabisa nachukua fursa hii kuwatangazia Members wote wa JF kuwa kuna member mwenzetu kwa ID user name ya Njee, amefariki leo alfajiri baada ya kupatwa na mstuko wa Moyo!
Kupata profile yake tembelea - Njee (Senior Member)
MUNGU AIWEKE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI
Who is he/she, by the way?
Mungu awape faraja wafiwa..sad!