Reserved
JF-Expert Member
- Sep 16, 2008
- 747
- 68
Kwa masikitiko makubwa kabisa nachukua fursa hii kuwatangazia Members wote wa JF kuwa kuna member mwenzetu kwa ID user name ya Njee, amefariki leo alfajiri baada ya kupatwa na mstuko wa Moyo!
Kupata profile yake tembelea - Njee (Senior Member)
Njee alijiunga Jamiiforums Disemba 28, 2012 na kuitumia Jf mwisho Mei 25, 2013 saa 11:31 jioni.
Member huyu alikuwa ni mwanaume mwenye familia yake.
MUNGU AIWEKE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI
========
Msiba upo nyumbani kwa marehemu maeneo ya Ukonga Mombasa,
Shughuri za Misa itafanyika kesho saa 5 Asubuhi hapa nyumbani, ambayo itafuatiwa na sadaka (Chakula).
Mchana ni kuaga mwili wa marehemu
Saa kumi safari ya kusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Ifakara itaanza!
Kwa mawasiliano na MICHANGO unaweza kuwasiliana na mdogo wa marehemu: 0715 280 737
Kupata profile yake tembelea - Njee (Senior Member)
Njee alijiunga Jamiiforums Disemba 28, 2012 na kuitumia Jf mwisho Mei 25, 2013 saa 11:31 jioni.
Member huyu alikuwa ni mwanaume mwenye familia yake.
MUNGU AIWEKE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI
========
Msiba upo nyumbani kwa marehemu maeneo ya Ukonga Mombasa,
Shughuri za Misa itafanyika kesho saa 5 Asubuhi hapa nyumbani, ambayo itafuatiwa na sadaka (Chakula).
Mchana ni kuaga mwili wa marehemu
Saa kumi safari ya kusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Ifakara itaanza!
Kwa mawasiliano na MICHANGO unaweza kuwasiliana na mdogo wa marehemu: 0715 280 737