TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

wiki iliyopita alikuwa anaongea na Salama kwenye Mikasi, kumbe ndo ilikuwa bai bai!. Maisha ya Binadamu........ lol mambo yote chini ya jua ni UBATILI.
 
waaaaaaat inna lilah waina lilaah rahuun,,, wastra!!!!!!!!!!!!!!! Oooooooopx i cnt imagn hw she z fln nw n at wat cndtn
 
waaaaaaat inna lilah waina lilaah rahuun,,, wastara!!!!!!!!!!!!!!! Oooooooopx i cnt imagn hw she z fln nw n at wat cndtn
 
Jana huyu si alihojiwa na salama na nikaangalia mwano mwisho.
Alikuwa amerecover kabisa at least alipendeza.
Aisee nimeshtuka hapa tumbo limenikoroga ghafla
 
Inallilah lillah wa inna lillah raajiun.
Mungu akupatie firdaus
 
RIP Sajuki
Pole sana Wastara, familia, bongo movie na watanzania wote
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom