TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

Wakuu kwa habari nilizo zipata hivi punde ni kwamba msanii maarufu wa tasnia ya filamu nchini AMEFARIKI dunia !
Its so sad. Bwana alitoa na Bwana ametwaa,jina la Bwana Libarikiwe. Source clouds fm
 
May God rest his soul in eternal peace.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom