MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Wasalaam,
Leo nimesikia kwamba mkurugenzi wa mtandao maarufu sana Wikileaks ambao kwa siku za karibuni umekuwa ukivujisha habari nyingi hapa duniani; hasa za uchaguzi wa Marekani amefariki dunia hii leo akiwa na umri wa miaka 76. Mpaka sasa chanzo cha kifo hakijafahamika.
Ikumbukwe kwamba ni takribani wiki moja sasa tangu Ubalozi wa Ecuador nchini Uingereza unyimwe mawasiliano ya kimtandao. Kwa bahati mbaya sana mle ndani ya ubalozo kuna mmiliki wa mtandao wa Wiki-leaks bwana Julian Assange. Kwa kipindi ambacho mtandao umezimwa hapo Ubalozi wa Ecuador nchini Uingereza marehemu bwana Gavin MacFadyen ndiye aliyekuwa anaongoza mtandao wa Wiki-leaks.
Mtandao wa Wiki-leaks umekuwa mwiba mchungu sana kwenye kampeni za Marekani. Mambo mengi ya siri ya mgombea Hillary Clinton yemevuja na kwa bahati mbaya siyo mambo mazuri sana. Tumejua dhahiri kwamba Marekani na Saudi Arabia ndiyo wafadhili wa ugaidi kule nchini Syria na Iraq; tumejua kwamba Hillary Clinton alipendelewa na chama chake dhidi ya Bernie Sanders; tumejua kwamba Hillary Clinton alipewa fedha nyingi na Benki ya Wayahudi "Goldman Sachs" ambapo Wamarekani wengi wameachwa gizani ni kwanini alipewa pesa nyingi mno.
Na kibaya zaidi imejulikana kwamba alikuwa hakubaliani na mpango wa OBAMA CARE.
Kikubwa katika wiki hii ni kile cha Wiki-leaks kutoa mawasiliano ya Barua pepe za siri za raisi Obama. Binafsi hata mimi walinishangaza, na hadi sasa baada ya Gavin kufariki ghafla leo sijajua kama Wiki-leaks itakuwa na nguvu kama mwanzo kwasababu Assange anasema bado ana mamlaka na mtandao japo hana mawasiliano kimtandao.
Wengi hawajayaamini haya maneno lakini kifo hicho kimestua na kuumiza mioyo watu wengi hasa pale wanapomkumbuka marehemu kama mwanzilishi wa CENTRE FOR INVESTIGATIVE JOURNALISM ambapo wanahabari wengi wakubwa duniani wamejifunza hapo.
Kufa kufaana kwa upande mwingine kifo cha huyu bwana kimeleta neema fulani kwa makundi ambayo yalikuwa wahanga wa WIKI-LEAKS hasa Hillary, Saudi Arabia, Israel, CIA na viongozi wengi wala rushwa hapa duniani.
Kuna msemo tulikuwa nao toka mwaka jana Hapa JamiiFroums-Kuelekea Uchaguzi Tutasikia mengi, nikajua ni Tanzania tu kumbe hata dunia ya kwanza yapo.
=====================================
WikiLeaks director and founder of the Centre for Investigative Journalism Gavin MacFadyen has died at age 76. The cause of death is yet unknown. His ‘fellows in arms’ have flocked online to post their farewells, including WikiLeaks co-founder Julian Assange.
“We are extremely sad to announce the death of Gavin MacFadyen, CIJ’s Founder, Director and its leading light,” the Centre for Investigative Journalism team wrote on its Twitter.
MacFadyen was a pioneering investigative journalist and filmmaker, who back in 2003 founded the Centre for Investigative Journalism (CIJ), an organization that helped break several major stories and has trained a number of prominent journalists.
He was a mentor and friend to famous whistleblower and co-founder of WikiLeaks Julian Assange, as well as the director of the publication. Paying tribute to their head, WikiLeaks published a post on the group’s Twitter account saying MacFadyen “now takes his fists and his fight to battle God.”
The post is signed “JA,” indicating that the phrase belongs directly to Julian Assange, with WikiLeaks claiming that, despite the whistleblower being deprived of internet access in his suite in the Ecuadorian embassy for a week now, he has been able to contact them and is “still in full command.”
The CIJ team also published an address from MacFadyen’s wife and member of Julian Assange’s Defense Fund, Susan Benn, who described her husband as a “larger-than-life person,” with gratitude and respect.
“He was the model of what a journalist should be… He spearheaded the creation of a journalistic landscape which has irrevocably lifted the bar for ethical and hard-hitting reporting. Gavin worked tirelessly to hold power to account.
“His life and how he lived it were completely in sync with the principles that he held dear and practiced as a journalist and educator – to comfort the afflicted and afflict the comfortable,” Benn wrote.
Recounting her husband’s achievements, she said he had produced and directed more than 50 investigative documentaries covering diverse and multiple countries and problems. She also noted that he had been banned from apartheid South Africa and the Soviet Union for his investigative work, and was also attacked by British Neo-Nazis.
In his professional career, MacFadyen shed light on topics like child labor, pollution, the torture of political prisoners, neo-Nazis in Britain, UK industrial accidents, Contra murders in Nicaragua, the CIA, maritime piracy, election fraud in South America, South African mines, as well as many others. He worked on investigative television programs for PBS’s Frontline, Granada Television’s World in Action, the BBC’s Fine Cut, Panorama, The Money Programme, and 24 Hours, as well as Channel 4’s Dispatches.
The cause of MacFadyen’s death has not yet been made public. In the original post from his wife Susan, she wrote that he had died from “a short illness,” but that line has now been removed.
Twitter has been full of tributes from his colleagues and like-minded people. Even the hacktivist organization Anonymous has spoken out.
Source: RT
CC: Bukyanagandi , Bowie , Apollo , maalimu shewedy, MSEZA MKULU
Leo nimesikia kwamba mkurugenzi wa mtandao maarufu sana Wikileaks ambao kwa siku za karibuni umekuwa ukivujisha habari nyingi hapa duniani; hasa za uchaguzi wa Marekani amefariki dunia hii leo akiwa na umri wa miaka 76. Mpaka sasa chanzo cha kifo hakijafahamika.
Ikumbukwe kwamba ni takribani wiki moja sasa tangu Ubalozi wa Ecuador nchini Uingereza unyimwe mawasiliano ya kimtandao. Kwa bahati mbaya sana mle ndani ya ubalozo kuna mmiliki wa mtandao wa Wiki-leaks bwana Julian Assange. Kwa kipindi ambacho mtandao umezimwa hapo Ubalozi wa Ecuador nchini Uingereza marehemu bwana Gavin MacFadyen ndiye aliyekuwa anaongoza mtandao wa Wiki-leaks.
Mtandao wa Wiki-leaks umekuwa mwiba mchungu sana kwenye kampeni za Marekani. Mambo mengi ya siri ya mgombea Hillary Clinton yemevuja na kwa bahati mbaya siyo mambo mazuri sana. Tumejua dhahiri kwamba Marekani na Saudi Arabia ndiyo wafadhili wa ugaidi kule nchini Syria na Iraq; tumejua kwamba Hillary Clinton alipendelewa na chama chake dhidi ya Bernie Sanders; tumejua kwamba Hillary Clinton alipewa fedha nyingi na Benki ya Wayahudi "Goldman Sachs" ambapo Wamarekani wengi wameachwa gizani ni kwanini alipewa pesa nyingi mno.
Na kibaya zaidi imejulikana kwamba alikuwa hakubaliani na mpango wa OBAMA CARE.
Kikubwa katika wiki hii ni kile cha Wiki-leaks kutoa mawasiliano ya Barua pepe za siri za raisi Obama. Binafsi hata mimi walinishangaza, na hadi sasa baada ya Gavin kufariki ghafla leo sijajua kama Wiki-leaks itakuwa na nguvu kama mwanzo kwasababu Assange anasema bado ana mamlaka na mtandao japo hana mawasiliano kimtandao.
Wengi hawajayaamini haya maneno lakini kifo hicho kimestua na kuumiza mioyo watu wengi hasa pale wanapomkumbuka marehemu kama mwanzilishi wa CENTRE FOR INVESTIGATIVE JOURNALISM ambapo wanahabari wengi wakubwa duniani wamejifunza hapo.
Kufa kufaana kwa upande mwingine kifo cha huyu bwana kimeleta neema fulani kwa makundi ambayo yalikuwa wahanga wa WIKI-LEAKS hasa Hillary, Saudi Arabia, Israel, CIA na viongozi wengi wala rushwa hapa duniani.
Kuna msemo tulikuwa nao toka mwaka jana Hapa JamiiFroums-Kuelekea Uchaguzi Tutasikia mengi, nikajua ni Tanzania tu kumbe hata dunia ya kwanza yapo.
=====================================
WikiLeaks director and founder of the Centre for Investigative Journalism Gavin MacFadyen has died at age 76. The cause of death is yet unknown. His ‘fellows in arms’ have flocked online to post their farewells, including WikiLeaks co-founder Julian Assange.
“We are extremely sad to announce the death of Gavin MacFadyen, CIJ’s Founder, Director and its leading light,” the Centre for Investigative Journalism team wrote on its Twitter.
MacFadyen was a pioneering investigative journalist and filmmaker, who back in 2003 founded the Centre for Investigative Journalism (CIJ), an organization that helped break several major stories and has trained a number of prominent journalists.
He was a mentor and friend to famous whistleblower and co-founder of WikiLeaks Julian Assange, as well as the director of the publication. Paying tribute to their head, WikiLeaks published a post on the group’s Twitter account saying MacFadyen “now takes his fists and his fight to battle God.”
The post is signed “JA,” indicating that the phrase belongs directly to Julian Assange, with WikiLeaks claiming that, despite the whistleblower being deprived of internet access in his suite in the Ecuadorian embassy for a week now, he has been able to contact them and is “still in full command.”
The CIJ team also published an address from MacFadyen’s wife and member of Julian Assange’s Defense Fund, Susan Benn, who described her husband as a “larger-than-life person,” with gratitude and respect.
“He was the model of what a journalist should be… He spearheaded the creation of a journalistic landscape which has irrevocably lifted the bar for ethical and hard-hitting reporting. Gavin worked tirelessly to hold power to account.
“His life and how he lived it were completely in sync with the principles that he held dear and practiced as a journalist and educator – to comfort the afflicted and afflict the comfortable,” Benn wrote.
Recounting her husband’s achievements, she said he had produced and directed more than 50 investigative documentaries covering diverse and multiple countries and problems. She also noted that he had been banned from apartheid South Africa and the Soviet Union for his investigative work, and was also attacked by British Neo-Nazis.
In his professional career, MacFadyen shed light on topics like child labor, pollution, the torture of political prisoners, neo-Nazis in Britain, UK industrial accidents, Contra murders in Nicaragua, the CIA, maritime piracy, election fraud in South America, South African mines, as well as many others. He worked on investigative television programs for PBS’s Frontline, Granada Television’s World in Action, the BBC’s Fine Cut, Panorama, The Money Programme, and 24 Hours, as well as Channel 4’s Dispatches.
The cause of MacFadyen’s death has not yet been made public. In the original post from his wife Susan, she wrote that he had died from “a short illness,” but that line has now been removed.
Twitter has been full of tributes from his colleagues and like-minded people. Even the hacktivist organization Anonymous has spoken out.
Source: RT
CC: Bukyanagandi , Bowie , Apollo , maalimu shewedy, MSEZA MKULU