asante mkuupole sana mkuu.
shukrani mkuuWote 2ko njiani,ila mzee we2 amewah kufika,mungu ampumzishe kwa aman!pole sana mzalendo mwenze2 weare 2gether
asante mkuuPole sana kwa msiba!
kaka humu lazima niiingie tu kwani tayari tumemaliza matanga na ninyi ni ndugu zangu,naaamini kuwa karibu nami ni faraja tosha.MbarikiweMatwi, nimefurahi kukuona hapa jamvini. Tunamshukuru Mungu kwa kuwatia nguvu ktk kipindi kile kigumu, hakika Mungu yu mwema. Aendelee kuwatia nguvu: mama, wadogo zako nawe pia ambaye umeachiwa majukumu kama Kiongozi wa familia kwa sasa. Nachokusihi usiogope, songa mbele.