oh jamani!ahsante kwa taarifa nicas ngoja niicheki hyo namba nijipange kwenda msibani!so sad kwa kweli!dah!
R.I.P Mzee Shemndolwa!
pole sana kwa shosti wangu Madame B na Kijino.
Madame B na Kijino poleni sana kwa msiba aw baba, siyo rahisi kabisa. Najua mpo kwenye hali gani, nimewahi ku-experience nilipompoteza baba yangu. Kwa sasa ni kukubali tu yale maneno "Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana Libarikiwe"
RIP baba
Poleni sana Madame B na Kijino (sikuwa najua kama nyie ni ndugu, JF bana).
Namwomba Mungu awape moyo wa subira na uvumilivu katika hiki kigumu sana kwenu. Pia namwomba Mungu wetu huyu huyu amsamehe mzee wetu yote aliyoyafanya ambayo hayakumpendeza ili ampumzishe mahali pema peponi. Amina.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake na lihimidiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.