Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Mpeni pole sana huyu chalii mkienda msibani.
yaa wakape hi kacharii ka magogni
Mpeni pole sana huyu chalii mkienda msibani.
Aliyefariki ni mtoto wa dada yake, nimelisikia tangazo Radio One saa 4:00 asubuhi hii.mbona taarifa zinatuchanganya?
ni dada yake au mtoto wa dada yake?
,Nimepita magomeni mapipa nyuma ya msikiti wa mchangani, rais wa Tanzania yu-katika hali ya majonzi ya kufiwa na dada yake, sifahamu marehemu akiitwa nani, mwenye taarifa za kina atujuze. POLE RAIS WETU, MUNGU AKUPE MOYO WA SUBIRA KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA MSIBA. RIP MAREHEM
Jogi, angalau, ila headline siyo lazima awe JK, aliyefiwa haswa ni Dada yake JK, kafiwa na mwanawe!.Nimepita magomeni mapipa nyuma ya msikiti wa mchangani, rais wa Tanzania yu-katika hali ya majonzi ya kufiwa na mtoto wa dada yake, sifahamu marehemu aliitwa nani.
Mwenye taarifa za kina atujuze.
POLE RAIS WETU, MUNGU AKUPE MOYO WA SUBIRA KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA MSIBA.
RIP MAREHEM
Nimepita magomeni mapipa nyuma ya msikiti wa mchangani, rais wa Tanzania yu-katika hali ya majonzi ya kufiwa na mtoto wa dada yake, sifahamu marehemu aliitwa nani.
Mwenye taarifa za kina atujuze.
POLE RAIS WETU, MUNGU AKUPE MOYO WA SUBIRA KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA MSIBA.
RIP MAREHEM
RIP mtoto wa dadake JKsi dadake ni mtoto wa dadake
Nimepita magomeni mapipa nyuma ya msikiti wa mchangani, rais wa Tanzania yu-katika hali ya majonzi ya kufiwa na mtoto wa dada yake, sifahamu marehemu aliitwa nani.
Mwenye taarifa za kina atujuze.
POLE RAIS WETU, MUNGU AKUPE MOYO WA SUBIRA KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA MSIBA.
RIP MAREHEM
Aliyefariki ni mtoto wa dada yake, nimelisikia tangazo Radio One saa 4:00 asubuhi hii.
Mode please rekebisheni, JK hajafiwa na dadake, kafiwa na mtoto wa dadake, yaani mpwawe.
kumbe bro kakulia migo!!! Nlidhani msoga
Kuna ubwabwa huko?
"to Allah we all belong and to him we shall return"