Aliyekuwa Diwani wa kata ya Lwezera,Tarafa ya Bugando,wilayani Geita kupitia CCM bwana Anatori Mkufu amefariki Dunia juzi kwa ajali ya gari jijini Mwanza eneo la Mabatini.
Mkuu...jamaa alikuwa mchapa kazi na element zote za kikamanda na alikubalika kwa watu wa rika zote japo alikuwa ma.ga.mba side...ndiyo maana amekuwa diwani tangu miaka ya 90s...enzi hizo ilikuwa kata ya Nzera...mpaka ilipogawanywa na kuzaliwa kata hii ya Lwezera.
R.I.P Diwani ila ujue kama ulifanya udangaanyifu wa kura ulipochaguliwa ujue lazima utaenda kujibu hko kwa Mr. Sir God.
Nawatakia familia ya marehemu nguvu katika kipindi hiki kigumu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.