The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Nimestaajabia kuona Bahama, ikiwa imejazwa maduka makubwa kwa madogo ya Tanzanite, mengi ya maduka niliyoyashuhudia pale Nasau na hata Free Port yamejazwa madini safi ya Tanzanite katika ukubwa tofauti na kwa wingi, huku yakiuzwa kwa gharama kubwa kupindukia.
Unaweza bisha lakini amini madini yetu yanayochimbwa hapo Arusha ndio yanayoendesha uchumi wa bahama
Unaweza bisha lakini amini madini yetu yanayochimbwa hapo Arusha ndio yanayoendesha uchumi wa bahama