Tanzania’s nationalism threat to integration

Si mjenge ukuta basi, kisha tuone nani atakuwa wakwanza kujaribu kuvuta kuta hizo. You should hear your self talking.
 
Smatta said:
Si mjenge ukuta basi, kisha tuone nani atakuwa wakwanza kujaribu kuvuta kuta hizo. You should hear your self talking.

Smatta,

..nimetoa mfano wa USA kujenga ukuta kule Arizona kwenye mpaka wake na MEXICO kuonyesha kwamba siyo kila integration inahusisha free movement of labor, abolishment of national identities, and free access to land.

..hizi integrations zina challenges zake, na serikali ya Tanzania inavyowaburuza wananchi ni as if tukishaingia huko then this place will be like heaven. hata uchaguzi wa Marekani suala la NAFTA lilizungumziwa sana and it negative effects on the US working class.

..in short, there is a need for an OPEN and HONEST debate on the issue of EAC.
 
Smatta,

..nimetoa mfano wa USA kujenga ukuta kule Arizona kwenye mpaka wake na MEXICO kuonyesha kwamba siyo kila integration inahusisha free movement of labor, abolishment of national identities, and free access to land.

..hizi integrations zina challenges zake, na serikali ya Tanzania inavyowaburuza wananchi ni as if tukishaingia huko then this place will be like heaven. hata uchaguzi wa Marekani suala la NAFTA lilizungumziwa sana and it negative effects on the US working class.

..in short, there is a need for an OPEN and HONEST debate on the issue of EAC.

Feel you on this bro, we must accept the challenges and strategise on ways of forging foward. Enjoy your weekend.
 
Si mjenge ukuta basi, kisha tuone nani atakuwa wakwanza kujaribu kuvuta kuta hizo. You should hear your self talking.

...wanasafiri kupitia Kenya maana mafisadi wamekula pesa za barabara na ni mbovu sana na hata pesa ya kujenga huo ukuta sijui kama wanayo ni makelele tuu!
 
The European Union has integrating slowly for over 50 years and they are on the right path.They are building from the bottom up. Sasa what is our rush?
 
Nitarudi katika mjadala.I think Tanzanians we need to focus kulekea ktk Economic Intergration and tuwe sure kwamba hatutapoteza ktk Federation.National Interests first zingine baadae.

However,social interaction zimekuwepo muda mrefu kati ya Watanzania,Wakenya na Waganda.So hakuna difference kubwa itakayotokea.Jamani sisi ni Ndugu,hata mie Nina girlfriend wa kikenya...so hao ni wakwe pia.lol!
 
may be its about time, the other sides explained what Tanzania is losing in selling the idea to us rather than keep on moaning what a pain Tanzania is to your beloved EAC.

It should be about mutual benefits, now what are the benefits for Tanzania and its people in all these.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom