Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
kwenye strong democracy yoyote ile Media ni kama 4th estate lakini kwetu inaonekana kama vile media kazi zao ni kuserve special interests be it ziko owned na Chama tawala, serikali,opposition, vikundi vya dini au watu binafsi
sielewi inawezekana vipi ufisadi unaofanywa PPF media ikawa kimya namna hii...najiuliza Freemedia au IPPMEDIA au akina MWANAHALISI au UHURU na DAILY NEWS mbona wako kimya namna hii?
Je is it fair kusema kuwa media in Tanzania hawana interest na waTanzania bali wao ni special interest groups bas au ndio tuseme they just dont care?
The same applies na ufisadi BRELA, TRA, UJENZI na sehemu zinginezo
To be honest saa zingine mie naona kichefu chefu asubuhi nikiona headlines za magazeti yetu. Hakuna investigative journalism, waandishi wa habari ndio hao hao wa kuunganisha unganisha, ukisoma business news ndio matapishi matupu. the only paper ambao naona kidogo wanafadhali na wako detailed ni THE CITIZEN sasa sijui sababu wanajaribu kuwa kama DAILY NATION la Kenya au vipi
Naona solution ni social media kama twitter,facebook groups and so on. Otherwise relying on the Kubeneas will not get us anywhere
sielewi inawezekana vipi ufisadi unaofanywa PPF media ikawa kimya namna hii...najiuliza Freemedia au IPPMEDIA au akina MWANAHALISI au UHURU na DAILY NEWS mbona wako kimya namna hii?
Je is it fair kusema kuwa media in Tanzania hawana interest na waTanzania bali wao ni special interest groups bas au ndio tuseme they just dont care?
The same applies na ufisadi BRELA, TRA, UJENZI na sehemu zinginezo
To be honest saa zingine mie naona kichefu chefu asubuhi nikiona headlines za magazeti yetu. Hakuna investigative journalism, waandishi wa habari ndio hao hao wa kuunganisha unganisha, ukisoma business news ndio matapishi matupu. the only paper ambao naona kidogo wanafadhali na wako detailed ni THE CITIZEN sasa sijui sababu wanajaribu kuwa kama DAILY NATION la Kenya au vipi
Naona solution ni social media kama twitter,facebook groups and so on. Otherwise relying on the Kubeneas will not get us anywhere