Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
A portion of the act states this
Swali linakuja, je Rais akitumia madaraka yake vibaya na kuigawa ardhi hii bila kujali maslahi ya Taifa, lakini kuna kinga kama hii, je kama Taifa tufanyeje?
Je jinsi tulivyotoa ardhi kwa Grumeti, Loliondo, SEKAB na sasa South Korea na Saudi Arabia, je nao watanufaika kwa kufidiwa pindi watakapopaswa kuhamishwa au kunyang'anywa ardhi?
Je mtu kama James Sinclair na Tanganyika Range ambao ndio wanahodhi kwa ujumla ardhi yote ya Tanzania iliyo na madini, ni nani aliwapa mamlaka makubwa namna hiyo na ikiwa itabidi kuwafukuza au kuwanyang'anya ardhi kutokana na kutambulika kuwa Uongozi wa nchi uliokuwa na dhamana ulikodisha na kumpa Sinclair ardhi hii si kwa manufaa ya Taifa letu, ni nani atamfidia Sinclair ambaye atakuwa tayari kutumia hii sheria yetu ya 1999 kudai fidia?
 The Land Act,1999 (Act No 4/1999)
The Land Act is the principle land legislation on all land matters. The Land Act signifies
that land in Tanzania is public land and remain vested in the President as trustee for and
on behalf of all citizens of Tanzania.For the purposes of the management of land under the
Land Act and all other laws applicable to land, public land is in the following categories: (1)
general land; (2) village land and (3) reserved land. The transfer of land from one category to
another is provided in the Act.
The Act specify that an interest in land has a value and that value is taken intothe granted right of occupancy and customary ownership. The act states that where
consideration in any transaction affecting that interest. The recognized land ownership is
persons with a right of occupancy (including land which is occupied by persons under
customary law) are to be moved or relocated, they must be compensated for loss of
interest in the land and for other losses. They also have the right to reap crops that are
sown before any notice for vacating that land is given.
According to the Land Act, assessment of compensation on land acquired shall be based
on the following: i) Market value of the real property; ii) Disturbance allowance; iii) Transport
allowance; iii) Loss of profit or accommodation; iv) Cost of acquiring or getting the subject land;
v) Any other cost loss or capital expenditure incurred to the development of the subject land, iv)
Interest at market rate will be charged,
Swali linakuja, je Rais akitumia madaraka yake vibaya na kuigawa ardhi hii bila kujali maslahi ya Taifa, lakini kuna kinga kama hii, je kama Taifa tufanyeje?
Je jinsi tulivyotoa ardhi kwa Grumeti, Loliondo, SEKAB na sasa South Korea na Saudi Arabia, je nao watanufaika kwa kufidiwa pindi watakapopaswa kuhamishwa au kunyang'anywa ardhi?
Je mtu kama James Sinclair na Tanganyika Range ambao ndio wanahodhi kwa ujumla ardhi yote ya Tanzania iliyo na madini, ni nani aliwapa mamlaka makubwa namna hiyo na ikiwa itabidi kuwafukuza au kuwanyang'anya ardhi kutokana na kutambulika kuwa Uongozi wa nchi uliokuwa na dhamana ulikodisha na kumpa Sinclair ardhi hii si kwa manufaa ya Taifa letu, ni nani atamfidia Sinclair ambaye atakuwa tayari kutumia hii sheria yetu ya 1999 kudai fidia?