Sasa mkuu mbona unaleta mambo ya shule sasa data ni za nchi tatu dunia ina nchi zaidi ya 230
1.Kama utakubali GDP ni formula in the economic perspective wewe utaweka figure tu na chombo kinacho aminika ni World Bank nd IMF to give you fair results kwani hata Watanzania wapo wanafanya kazi kule
2. sasa ukiltaka ranking ya mortality rate or maternal death, and life expectancy for each country WHO wanazo na wanatumia sama rules na nchi zipo ranked
3. kama ukitaka iliterate rate kuna UNICEF
4. Wakimbizi ipo UNHCR na hii sisi ndio tunaongoza
na vitu vyote vipo ranked separately na hao walioderive hivyo vitu wamabobea kwenye fani hiyo sio wanafunzi
Kwa kuwa mtu anaanza kutambaa halafu kutembea ndio akimbie lazima walisoma hiyo attachment Shuleni
Na wameweka nchi tatu kwa sababu ya kurahisisha kuelewa
Huwezi kuweka mambo ya life expectacy kwenye GDP every thing was considered well before agreed by every country sasa kama hutaki hutaki tuu
Nilikuelezea umuhimu wa kuzingatia vigezo vingine vya maendeleo na siyo GDP peke yake,hapo ndiyo kwenye hoja yangu.
Ukataka data.Nimekutumia hako ka file kusisitiza hoja yangu ya mapungufu ya GDP,bado hunielewi?
Nani asiyejua dunia ina nchi zaidi ya 3?Wamekuchanganulia kama nilivyokuambia mwanzo kuwa nchi moja inaweza ikawa juu katika baadhi ya vielelezo vya maendeleo na ikawa chini katika vingine.Na wenyewe nao wametumia baadhi ya ripoti hizohizo za WB/IMF unazoziamini.Wakakupa mfano wa umri wa kuishi kama kielelezo kimojawapo cha maendeleo.Utaona kuna nchi zina GDP sawa lakini vilevile zina viwango tofauti katika umri wa kuishi.
Wakakupa mfano wa Literacy rates kama kielelezo kimojawapo cha maendeleo.Mfano Saudi Arabia ina GDP kubwa kuliko Zambia lakini Zambia inaongoza kwa literacy rates.
Sasa kigumu kiko wapi mkuu?
Usipoielewa hoja yangu mpaka hapa basi mkuu umeshinda.Tukutane kwenye thread nyingine!!