Rais wenu anataka mje mumkumbuke 'kwa kuwatoa hapa na kuwaweka pale!!!' sasa hivi anawatafutia unga huko Far East, akirudi ataangalia wapi atafuata nyanya na vitunguu, Ulaya au America!!! Na hapo bado mboga. Si mnajua akizembea mtakufa njaa?! Hayo mambo ya FP walah kikwete hayajui kwake FP ni safari za nje tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.