Huu wote ni upuuzi tu! Hakuna lolote ambalo CAG amelisema ambalo halijawahi kusemwa; hakuna lolote analosema serikali imefanya au kushindwa kufanya ambalo halijawahi kusemwa kabla. Wanaoambiwa ni watu wale wale, wa chama kile kile na Bunge linaongozwa na watu wale wale! Ni upuuzi tu wangetaka kudhibiti matumizi ya fedha wangeshadhibiti mwaka wa kwanza wa JK madarakani!
Huu wote ni upuuzi tu! Hakuna lolote ambalo CAG amelisema ambalo halijawahi kusemwa; hakuna lolote analosema serikali imefanya au kushindwa kufanya ambalo halijawahi kusemwa kabla. Wanaoambiwa ni watu wale wale, wa chama kile kile na Bunge linaongozwa na watu wale wale! Ni upuuzi tu wangetaka kudhibiti matumizi ya fedha wangeshadhibiti mwaka wa kwanza wa JK madarakani!
CAG aibua ufisadi wa kutisha serikalini | Send to a friend |
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh jana aliwasilisha ripoti yake bungeni inayoonyesha kuendelea kuwapo kwa ufisadi wa kutisha serikalini huku deni la taifa likiongezeka kutoka Sh10.5 trilioni mwaka juzi na kufikia Sh14.4 trilioni mwaka jana. CAG alisema Serikali imetumia Sh 544 bilioni bila kuidhinishwa na Bunge, Sh bilioni moja zimelipwa mishahara kwa watumishi hewa na Sh 3bilioni zimetumika katika Balozi za Tanzania nje ya nchi ambazo ziko nje ya bajeti iliyoidhinishwa na mhimili huo wa dola wa kuisimamia Serikali. Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Dodoma, Utouh alisema deni la taifa limeongezeka kutoka Sh10.5 trilioni mwaka wa fedha wa 2009/2010 hadi kufikia Sh14.4 trilioni mwaka 2010/2011, sawa na ongezeko la asilimia 38. Kuna ongezeko kubwa la deni la taifa, lakin
kufika ni mpaka mchwa wadhibitiwe
Wanabodi,
Niko hapa Dodoma kwenye ukumbi wa mikutano ya waandishi wa habari Bungeni, ambapo CAG, Ludovick Uttouh, anazungumza na waandishi wa habari, kuhusu ripoti yake.
Kubwa kuliko ni serikali, imelifungua lile fuko kuu la hazina lililoko Benki Kuu ya Tanzania, na kujitotea kutoka fuko hilo, Shilingi, Bilioni 5.8 bila idhini ya Bunge!.
Kwa lugha rahisi, ni serikali imejichotea fungu hilo na kujitafunia, yenyewe bila kuomba kibali cha wenye fedha zao!.
Kuchukua kitu bila ruhusa ni wizi, regardless umefanyia nini hicho ulichochukua, hivyo serikali yetu imeiba Shilingi Bilioni 5.8 zetu!.
Wakuu wa zile oversight commitee za PAC-Cheyo, LAAC-Mrema na POAC-Zitto wapo hapa kutueleza serikali yetu iliyafanyia nini mabilioni hayo?.
Pascal.
Mkuu Capt Tamar ,Naendelezea hapahapa~~chochote chenye public interest kina mawazo na maamuzi yanayotoka kwa watu kwa ajili ya watu,mwenyekiti wa ccm ndiye anejigeuza kuwa mwenyekiti wa Tanzania,yeye ndiye anayeamua nini kiwe for public interest na kipi kisiwe,alipomtimua mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali baada ya mkaguzi huyo kusimamia public interest wewe Pascal Mayalla hukumgombeza magufuli au kumkumbusha kuwa pesa iliyopotea ni ya umma,na mkaguzi ndiye jicho la umma,unamshangilia mwizi halafu unaongea habari za public interest,fool